Pre GE2025 CHADEMA kama mnaona Gen-Z wanatija kwenu basi hamieni Kenya, tumewachoka na siasa zenu zenye vimelea vya vurugu

Pre GE2025 CHADEMA kama mnaona Gen-Z wanatija kwenu basi hamieni Kenya, tumewachoka na siasa zenu zenye vimelea vya vurugu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kikwava

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2015
Posts
1,741
Reaction score
1,068
Naomba niwaase viongozi na wafuasi wa chadema wote kwamba; sisi nchi yetu ya Tanzania ni nchi ya aman umoja na mshikamano kamwe sisi Kama raia wakawaida hatutaruhusu vurugu ya aina yoyote ile nchini mwetu Kama mnavutiwa na hao Gen z nendeni Kenya na kamwe msithubutu hapa nchini kwetu.

Uongozi wa chadema Taifa ni kama wamekosa uzalendo kwanini hawawakemei hawa wafuasi wao pale wanapokuwa na hoja zisizo na afya kwa maendeleo ya Taifa letu, Jueni kuwa nyie chadema hamtufai sisi Watz kutokana na siasa zenu za utengano na vurugu.

Tutalinda upendo, amani na mshikamano waliotuachia waasisi wa Taifa letu wapendwa wetu: hayati Jk Nyerere na Karume.
 
Hata wao CHADEMA wanajua ushenzi wa Gen Z hauwezi kutokea hapa. Wanajifurahisha ili kuendelea kutafuna ruzuku. Mbowe sio fala aiingize nchi matatizoni. Si mnakumbuka alivyokataza wafuasi wake kuandamana kwenye Operesheni UKUTA?
 
Gen z Ni kizazi chenye laana nawachangaa chadema wanavyowatolea macho. Ila chadema Ni aibu kwa Taifa letu
Hamna kizazi cha laana buda. Gen z ndio vijana wadogo ndio viongoz wa kesho by then kizazi chako kitakuwa kikeshapita. Nao GEN Z ya sasa watakuwa watazeeka one day watakuwa watoto wao nao watawaita kizazi kingine
 
CCM ndo inayofanya Mbowe aendelee kung'ang'ania kiti mnapata ruzuku kutoka CCM,
chadema haina mradi hata mmoja na Unaambiwa hata ofs Zina hati ya majina ya mbowe
Mpumbavu wewe ruzuku ni kodi watanzania wote. Hizo stori mnazopeana mkinywa visungura ziishie huko huko. Chadema inakaguliwa na CAG na kila mwaka inapata hati safi.
 
Mpumbavu wewe ruzuku ni kodi watanzania wote. Hizo stori mnazopeana mkinywa visungura ziishie huko huko. Chadema inakaguliwa na CAG na kila mwaka inapata hati safi.
🤣🤣🤣 Mkuu, hebu jaribu kumuuliza bwana Mnyika, je! barua ya kuomba kulipwa ruzuku za miaka ya nyuma aliielekeza wapi yan alimwandikia Nani ndo utajua kuwa chadema wanaishi kwa hisan ya Chama Cha Mapindizi
 
Hamna kizazi cha laana buda. Gen z ndio vijana wadogo ndio viongoz wa kesho by then kizazi chako kitakuwa kikeshapita. Nao GEN Z ya sasa watakuwa watazeeka one day watakuwa watoto wao nao watawaita kizazi kingine
Hakuna kiongoz wa kesho hapo hawa ni matokea ya kizaz chenye vurugu, hao wote ni njaa tu
 
Hakuna kiongoz wa kesho hapo hawa ni matokea ya kizaz chenye vurugu, hao wote ni njaa tu
wazee wetu waliangalia kizazi cha 80/90 wakasema hamna watu, leo hao hao ndio wana wa replace.
Viongozi wanatoka kwenye jamii, watapatikana tu halikwepeki kaka
 
🤣🤣🤣 Mkuu, hebu jaribu kumuuliza bwana Mnyika, je! barua ya kuomba kulipwa ruzuku za miaka ya nyuma aliielekeza wapi yan alimwandikia Nani ndo utajua kuwa chadema wanaishi kwa hisan ya Chama Cha Mapindizi
Huo ni upuuzi mnaelezana kijiweni
 
Naomba niwaase viongozi na wafuasi wa chadema wote kwamba; sisi nchi yetu ya Tanzania ni nchi ya aman umoja na mshikamano kamwe sisi Kama raia wakawaida hatutaruhusu vurugu ya aina yoyote ile nchini mwetu Kama mnavutiwa na hao Gen z nendeni Kenya na kamwe msithubutu hapa nchini kwetu.

Uongozi wa chadema Taifa ni kama wamekosa uzalendo kwanini hawawakemei hawa wafuasi wao pale wanapokuwa na hoja zisizo na afya kwa maendeleo ya Taifa letu, Jueni kuwa nyie chadema hamtufai sisi Watz kutokana na siasa zenu za utengano na vurugu.

Tutalinda upendo, amani na mshikamano waliotuachia waasisi wa Taifa letu wapendwa wetu: hayati Jk Nyerere na Karume.
Majinga sana Chadema
 
Uongozi wa chadema Taifa ni kama wamekosa uzalendo kwanini hawawakemei hawa wafuasi wao pale wanapokuwa na hoja zisizo na afya kwa maendeleo ya Taifa letu, Jueni kuwa nyie chadema hamtufai sisi Watz kutokana na siasa zenu za utengano na vurugu.
☝🏿 soma, kisha uikariri vizuri
📌🔨

CHADEMA ilaaniwe kwa nguvu zote.
 
Back
Top Bottom