Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Sawa nini?Sawa
Wavuvi haramu leo wamefanya uokozi wa ndege, na taifa limenyamaza tu...
Alivyosema John MrenaSawa nini?
Ahaaa. Kuwa hatuna hata mitumbwi ya kufanya kuokoa watu?Alivyosema John Mrena
Chadema?Poleni
NdioAhaaa. Kuwa hatuna hata mitumbwi ya kufanya kuokoa watu?
Hahaha...... ndege za watani zangu hizi!Imevunjika kidevu, itachunguzwa vipi?View attachment 2408792
Vipi hali ya wateja wa bajia zako hapo Desderia?Mungu ibariki Chadema
Kuzuia mikutano zana zote tunazo😅😅
Chama la watu wenye akiliManeno yenye Hekima ndani yake
JAMAA ACHA AJILIPE TU NA HILO PUA, KUVUTA LILE DEGE NA KAMBA SIYO KAZI NDOGO NYIEEImevunjika kidevu, itachunguzwa vipi?View attachment 2408792