Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Igweeeehh Mukulu..CHADEMA strong and firm mnaosubiri mkono wa binadamu udondoke kama fisi poleni.
Nyie watu hamuaminiki tena mjueNi katika Uchaguzi wa Kanda hiyo uliofanyika leo hii
Hawa hapa
Washindi Uchaguzi Kanda ya Kaskazini - 2024
Soma Pia: CHADEMA yafanya Uteuzi wa Viongozi wa Kanda ya Kaskazini na Kati
- Mwenyekiti, Kanda ya Kaskazini
- Mhe. Samwel Welwel
- Kura alizopata: 51%
- Makamu Mwenyekiti, Kanda ya Kaskazini
- Mhe. Gervas Sulle
- Kura alizopata: 53%
- Mweka Hazina, Kanda ya Kaskazini
- Emma Kimambo
- Kura alizopata: 55%
Naona kwa mgawanyiko huu wa kura chama kimepasuka katikati. Nani anaweza kukifanya tena kuwa kimoja?Ni katika Uchaguzi wa Kanda hiyo uliofanyika leo hii
Hawa hapa
Washindi Uchaguzi Kanda ya Kaskazini - 2024
Soma Pia: CHADEMA yafanya Uteuzi wa Viongozi wa Kanda ya Kaskazini na Kati
- Mwenyekiti, Kanda ya Kaskazini
- Mhe. Samwel Welwel
- Kura alizopata: 51%
- Makamu Mwenyekiti, Kanda ya Kaskazini
- Mhe. Gervas Sulle
- Kura alizopata: 53%
- Mweka Hazina, Kanda ya Kaskazini
- Emma Kimambo
- Kura alizopata: 55%
HayaNyie watu hamuaminiki tena mjue
Unaonekana ulikuwa ni Uchaguzi Huru na wa Haki inavyoonekana Rushwa haikutembea.Malya chawa wa Mbowe kabwagwa. Kumbe inawezekana! Alimfanya mpaka Lema akaona ni ujinga kushiriki uchaguzi. Safi sana wazalendo wa kweli
Kati ya vitu vya ovyo chadema wanafanya ni viongozi wao kujiita waheshimiwa...Ni katika Uchaguzi wa Kanda hiyo uliofanyika leo hii
Hawa hapa
Washindi Uchaguzi Kanda ya Kaskazini - 2024
Soma Pia: CHADEMA yafanya Uteuzi wa Viongozi wa Kanda ya Kaskazini na Kati
- Mwenyekiti, Kanda ya Kaskazini
- Mhe. Samwel Welwel
- Kura alizopata: 51%
- Makamu Mwenyekiti, Kanda ya Kaskazini
- Mhe. Gervas Sulle
- Kura alizopata: 53%
- Mweka Hazina, Kanda ya Kaskazini
- Emma Kimambo
- Kura alizopata: 55%
HayaKati ya vitu vya ovyo chadema wanafanya ni viongozi wao kujiita waheshimiwa...
Umeongea ukweli kabisa. Mwingine anagombea uenyekiti lakini ananyoa kihuni huni utafikiri anataka kukata kidukuViongozi wa Chadema ukiwaangalia kwa wasiwasi unaweza kudhani ni wavuta shisha, em muangalie huyo mwenyekiti hapo juu na mdude.
Anyway, Lema popote alipo nakusalimu
Maskini wa kipato tulia !! bora upiganie kiberiti kishuke bei kupambana na Chadema ni kujidhalilisha....Umeongea ukweli kabisa. Mwingine anagombea uenyekiti lakini ananyoa kihuni huni utafikiri anataka kukata kiduku