CHADEMA Kanda ya Kaskazini yapata viongozi Wapya

CHADEMA Kanda ya Kaskazini yapata viongozi Wapya

Umeongea ukweli kabisa. Mwingine anagombea uenyekiti lakini ananyoa kihuni huni utafikiri anataka kukata kiduku
🚮🚮🚮
Cutting hair style nayo ni ya ku judge ? Nakuonaga uko smart japo ni chawa kumbe na wewe una tabia kama za paka
 
🚮🚮🚮
Cutting hair style nayo ni ya ku judge ? Nakuonaga uko smart japo ni chawa kumbe na wewe una tabia kama za paka
Mimi nipo smart sana mpaka nikianzaga kuongea kwa watu inanibidi kusimama kwa muda Kuzungumza kwa ajili ya kuwaomba watu watulie na waache kububujikwa na machozi ya furaha.
 
Malya chawa wa Mbowe kabwagwa. Kumbe inawezekana! Alimfanya mpaka Lema akaona ni ujinga kushiriki uchaguzi. Safi sana wazalendo wa kweli
Mwamba hata lema alikuwa anamuunga mkono huyo mallya?!
 
Ni katika Uchaguzi wa Kanda hiyo uliofanyika leo hii

Hawa hapa

Washindi Uchaguzi Kanda ya Kaskazini - 2024

  1. Mwenyekiti, Kanda ya Kaskazini
    • Mhe. Samwel Welwel
    • Kura alizopata: 51%
  2. Makamu Mwenyekiti, Kanda ya Kaskazini
    • Mhe. Gervas Sulle
    • Kura alizopata: 53%
  3. Mweka Hazina, Kanda ya Kaskazini
    • Emma Kimambo
    • Kura alizopata: 55%
Soma Pia: CHADEMA yafanya Uteuzi wa Viongozi wa Kanda ya Kaskazini na Kati

Hawatosaidia chochote bila TAL kuwa mwenyekiti,,Chama cha siasa mtaji ni watu kama mnataka kamati kuu mshinde chaguzi mtaishia kushinda chaguzi za ufipa tuu.
 
Cha kunishangaza kwa welwel yeye ni wakili wa DANIEL AWAKI mbunge wa karatu pia huyo huyo welwel kaonyesha nia ya kugombea ubunge karatu.ANYWAY SIASA SI UADUI.
 
Ila chadema mmezingua sana. Nani atawaamini tena? Kama mnaparurana wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama mkipewa serikali si ndio mtalikoroga kabisa kisha mtashindwa kulinywa? Mpaka hapo kwa ujinga unaoendelea ndani ya chama kwenye chaguzi zenu mmeshayapa MaCCM credit kibao
CCM wewe.
 
Back
Top Bottom