๐ฎ๐ฎ๐ฎUmeongea ukweli kabisa. Mwingine anagombea uenyekiti lakini ananyoa kihuni huni utafikiri anataka kukata kiduku
Mimi nipo smart sana mpaka nikianzaga kuongea kwa watu inanibidi kusimama kwa muda Kuzungumza kwa ajili ya kuwaomba watu watulie na waache kububujikwa na machozi ya furaha.๐ฎ๐ฎ๐ฎ
Cutting hair style nayo ni ya ku judge ? Nakuonaga uko smart japo ni chawa kumbe na wewe una tabia kama za paka
Mwamba hata lema alikuwa anamuunga mkono huyo mallya?!Malya chawa wa Mbowe kabwagwa. Kumbe inawezekana! Alimfanya mpaka Lema akaona ni ujinga kushiriki uchaguzi. Safi sana wazalendo wa kweli
Naona kwa mgawanyiko huu wa kura chama kimepasuka katikati. Nani anaweza kukifanya tena kuwa kimoja?
HAIWEZEKANI
Hawatosaidia chochote bila TAL kuwa mwenyekiti,,Chama cha siasa mtaji ni watu kama mnataka kamati kuu mshinde chaguzi mtaishia kushinda chaguzi za ufipa tuu.Ni katika Uchaguzi wa Kanda hiyo uliofanyika leo hii
Hawa hapa
Washindi Uchaguzi Kanda ya Kaskazini - 2024
Soma Pia: CHADEMA yafanya Uteuzi wa Viongozi wa Kanda ya Kaskazini na Kati
- Mwenyekiti, Kanda ya Kaskazini
- Mhe. Samwel Welwel
- Kura alizopata: 51%
- Makamu Mwenyekiti, Kanda ya Kaskazini
- Mhe. Gervas Sulle
- Kura alizopata: 53%
- Mweka Hazina, Kanda ya Kaskazini
- Emma Kimambo
- Kura alizopata: 55%
Lisu hafai....critical analyst na great thinker hawezi kumchagua Lisu, low IQ sawaTunamgonja lissu tu sasa list ikamilike
Hiyo ndiyo demokrasia unataka apate 99% kama anazopata mkiti wa CCM akigombea na kivuli.Naona kwa mgawanyiko huu wa kura chama kimepasuka katikati. Nani anaweza kukifanya tena kuwa kimoja?
HAIWEZEKANI
CCM wewe.Ila chadema mmezingua sana. Nani atawaamini tena? Kama mnaparurana wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama mkipewa serikali si ndio mtalikoroga kabisa kisha mtashindwa kulinywa? Mpaka hapo kwa ujinga unaoendelea ndani ya chama kwenye chaguzi zenu mmeshayapa MaCCM credit kibao
Dini 1?Ni katika Uchaguzi wa Kanda hiyo uliofanyika leo hii
Hawa hapa
Washindi Uchaguzi Kanda ya Kaskazini - 2024
Soma Pia: CHADEMA yafanya Uteuzi wa Viongozi wa Kanda ya Kaskazini na Kati
- Mwenyekiti, Kanda ya Kaskazini
- Mhe. Samwel Welwel
- Kura alizopata: 51%
- Makamu Mwenyekiti, Kanda ya Kaskazini
- Mhe. Gervas Sulle
- Kura alizopata: 53%
- Mweka Hazina, Kanda ya Kaskazini
- Emma Kimambo
- Kura alizopata: 55%
Akili zinakaa kichwani au kwenye muonekano wa nje?Umeongea ukweli kabisa. Mwingine anagombea uenyekiti lakini ananyoa kihuni huni utafikiri anataka kukata kiduku