Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa. Kama Mungu alivyomwokoa Nabii Wake Yeremia ktk mikono ya Ezekia na Yehoyakim. Bwana atatenda makuu kumwokoa Mtumishi Wake Mbowe.
Hata Mandela alipita njia kama hizi ila leo hii anaheshimika kuliko Makaburu.
Yana mwisho.
Mungu ibariki CHADEMA
[emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1548]powerful one!
Acha roho mbaya we KibwengoMungu ni mwema wakati wote!
Mimi naunga mkono hilo la "CCM mbuzi sana"Nyerere alifungwa nae wakati wa wakoloni na kuwa Rais Tanzania kuwa huru. Mbowe nae atakuwa baba wa Taifa wa pili ccm mbuzi sana.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Acha siasa za chuki we mburula.Mimi naunga mkono hilo la "CCM mbuzi sana"
CHADEMA na Makamanda wajifunze Mbinu za Medani?Mazoezi haya yanayoratibiwa chini ya sheria za kandamizi zinazotumika vibaya tunazozilalamikia, yanapaswa kujibiwa kwa lugha amvayo watesi wetu wanayoielewa zaidi:
"Kudhamiria kuukubali mpango wao wa sisi kuyajaza magereza yao pomoni kutatupa suluhu la mapema zaidi."
CHADEMA na Makamanda tujifunze Mbinu za Medani #1
Kesho tutakuwapo mahakamani kwa mujibu wa sheria.
Mada zako za kipuuzi hapaJF sizisomi maksudi, sasa unanifuatafuata hadi huku, unataka nikueleze kitu gani kitakachokusaidia kuinyoosha akili yako iliyochafuka!Acha siasa za chuki we mburula.
mkuu huna haja ya kujihangaisha na wajingaMada zako za kipuuzi hapaJF sizisomi maksudi, sasa unanifuatafuata hadi huku, unataka nikueleze kitu gani kitakachokusaidia kuinyoosha akili yako iliyochafuka!
Sina muda wa kupoteza na watu wapumbavu kama wewe.
MaCCM akili zao hazina akili , asikuchoshe. wanajitia ufyatu sana hawa Ngurue wa mama.Mada zako za kipuuzi hapaJF sizisomi maksudi, sasa unanifuatafuata hadi huku, unataka nikueleze kitu gani kitakachokusaidia kuinyoosha akili yako iliyochafuka!
Sina muda wa kupoteza na watu wapumbavu kama wewe.
Na ili nisikuache ukilalamika kwa kutojuwa unachofanya, ngoja nikupe mfano" Unajuwa "Siasa za chuki" ni kitu gani? CCM na hao wote wanaokujaza tumbo na kukuleta hapa unajuwa siasa zao zisivyokuwa "za chuki"?
Msomi hashughuliki kujibu mambo ya kijinga, vinginevyo wewe naye ni mjingaMada zako za kipuuzi hapaJF sizisomi maksudi, sasa unanifuatafuata hadi huku, unataka nikueleze kitu gani kitakachokusaidia kuinyoosha akili yako iliyochafuka!
Sina muda wa kupoteza na watu wapumbavu kama wewe.
Na ili nisikuache ukilalamika kwa kutojuwa unachofanya, ngoja nikupe mfano" Unajuwa "Siasa za chuki" ni kitu gani? CCM na hao wote wanaokujaza tumbo na kukuleta hapa unajuwa siasa zao zisivyokuwa "za chuki"?
Pumbavu mkubwa usie na akili kaa kimya.Mada zako za kipuuzi hapaJF sizisomi maksudi, sasa unanifuatafuata hadi huku, unataka nikueleze kitu gani kitakachokusaidia kuinyoosha akili yako iliyochafuka!
Sina muda wa kupoteza na watu wapumbavu kama wewe.
Na ili nisikuache ukilalamika kwa kutojuwa unachofanya, ngoja nikupe mfano" Unajuwa "Siasa za chuki" ni kitu gani? CCM na hao wote wanaokujaza tumbo na kukuleta hapa unajuwa siasa zao zisivyokuwa "za chuki"?