CHADEMA: Kesi dhidi ya Mbowe kuanza kusomwa kwa hati ya mashtaka na ushahidi kwa hatua za awali Agosti 23, 2021

Nyerere alifungwa nae wakati wa wakoloni na kuwa Rais Tanzania kuwa huru. Mbowe nae atakuwa baba wa Taifa wa pili ccm mbuzi sana.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
CHADEMA na Makamanda wajifunze Mbinu za Medani?

Una maana hadi hapa walipofikia hawajui hata adui yao ni nani?

Huenda unataka kukumbushia na kukazia tu wasipoteze lengo.

Ushahidi sasa upo wazi kabisa ni jinsi gani adui alivyo 'frustrated' na mbinu za CHADEMA wanazozitumia, iwe ni kwa bahati tu au kwa mpangilio maalum.
Adui amefanya kila kitu kuwachokoza CHADEMA ili waangukie kwenye mtego ili awamalize, lakini imeshindikana. Sasa imebaki adui anahangaika na kutapatapa, huku waTanzania wakiendelea kuelewa adui mkubwa wa nchi hii ni nani.

Kwa hiyo, wakati huu si wakati tena wa kujuwa adui ni nani. Anafahamika, na wananchi wanazidi kumfahamu adui huyo kwa sababu kafunuliwa wazi na CHADEMA.

Mbinu za kupambana na adui? Kutapatapa kwingi kunakofanywa na adui wakati huu ni ishara bora zaidi ya kujuwa kwamba mbinu wanazozitumia CHADEMA zinafanikiwa. Wanachotakiwa kukifanya ni kuziendeleza hivyo hivyo na kuzi'refine' ziweze kumweka uwazimu zaidi adui azidi kujitoa uchi uchi hadharani.

Kwani wanaCHADEMA kukaa mahabusu ni adhabu ya kifo? Ingetakiwa kila eneo sasa watu waendelee kujitokeza na kujitoa mhanga kukaa mahabusu bila ya kuvynja sheria yoyote. Hiyo ni beji ya heshima kubwa katika ukombozi wa taifa hili kutoka kwa hawa maadui wa nchi yetu.
 
Acha siasa za chuki we mburula.
Mada zako za kipuuzi hapaJF sizisomi maksudi, sasa unanifuatafuata hadi huku, unataka nikueleze kitu gani kitakachokusaidia kuinyoosha akili yako iliyochafuka!
Sina muda wa kupoteza na watu wapumbavu kama wewe.

Na ili nisikuache ukilalamika kwa kutojuwa unachofanya, ngoja nikupe mfano" Unajuwa "Siasa za chuki" ni kitu gani? CCM na hao wote wanaokujaza tumbo na kukuleta hapa unajuwa siasa zao zisivyokuwa "za chuki"?
 
Mada zako za kipuuzi hapaJF sizisomi maksudi, sasa unanifuatafuata hadi huku, unataka nikueleze kitu gani kitakachokusaidia kuinyoosha akili yako iliyochafuka!
Sina muda wa kupoteza na watu wapumbavu kama wewe.
mkuu huna haja ya kujihangaisha na wajinga
 
MaCCM akili zao hazina akili , asikuchoshe. wanajitia ufyatu sana hawa Ngurue wa mama.
 
Mahakama, Sheria na kifungo, ni kwa kila mtu mwenye kuthibitika na makosa, na wakati mwingine, Sheria huwa haina macho,
 
Msomi hashughuliki kujibu mambo ya kijinga, vinginevyo wewe naye ni mjinga
 
Hivi yule gaidi bado yupo nyuma ya nondo!
 
Pumbavu mkubwa usie na akili kaa kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…