Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Lazima asingiziwe maana alikuwa na uwezo wa kudhibiti mambo hayo ila akapiga kimya.Magufuli alisingiziwa mengi na laana iwatafune wote waliomsingizia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima asingiziwe maana alikuwa na uwezo wa kudhibiti mambo hayo ila akapiga kimya.Magufuli alisingiziwa mengi na laana iwatafune wote waliomsingizia
Jeshi pendwa!!!!!? Dah!.Hii inathibitisha kwamba "utekaji unafanywa na jeshi letu pendwa la polisi"
Mitano tena
Khamis Omary Khamis amepatikana akiwa kituo Cha Polisi Chato, ambako awali polisi walisema hawajamshikilia katika kituo hicho.
Hastuki kumwangalia mikono yake imelowa Damu mbichi!!Halafu bado Rais yuko comfortable kabisa kupiga picha na IGP!
Yaani! Hivi hii mission lengo lake ni nini haswa, na hata baada ya mission hiyo wanategemea nini, maana kila wanaeruka nae wanatokea wengine kadhaa, ina saidia nini, na sasa imekua too much yaani too muchKelele zimekua nyingi chezo limeshtukiwa
KAZI Kweli Kweli.Wawachie na akina Soka na wengine pia na wahusika waachie ngazi na marithiano yafanyike upendo urejee Nchini.
Mission lengo lake ni kuua na kupoteza na kupoteaYaani! Hivi hii mission lengo lake ni nini haswa, na hata baada ya mission hiyo wanategemea nini, maana kila wanaeruka nae wanatokea wengine kadhaa, ina saidia nini, na sasa imekua too much yaani too much
laana na aibu kubwa sana hii " panya kaloa " na bado utamona mtu kwenye press akihamasisha wananchi kama sie yeye anae husika, aisee kuna watu hawamuogopi Mungu, hawana aibu wala soni na hawana ubinadamu kabisaKelele zimekua nyingi chezo limeshtukiwa
Hakuna kujiuliza absolutely Yeas.Hii inathibitisha kwamba "utekaji unafanywa na jeshi letu pendwa la polisi"
Mitano tena
Mdomo koma JF ukijifanya unaongea ongea wanakupiga ban acha nipige kimyaSHIDA ,wakitoka huko Huwa hawasemi
Utaua wangapi!? Hamna mtu atakae barikiwa na program hii hata hao wanaopewa amri za kufanya haya yote ni basi tu kila mtu anafanya kishingo upande na ndio maana kunatokea makosa mengi na ya wazi kiasi kwamba hata watoto wadogo wanabaini kila kitu bila kuuliza swaliMission lengo lake ni kuua na kupoteza na kupotea
Kuteka, kutesa na kuua mdomo komalaana na aibu kubwa sana hii " panya kaloa " na bado utamona mtu kwenye press akihamasisha wananchi kama sie yeye anae husika, aisee kuna watu hawamuogopi Mungu, hawana aibu wala soni na hawana ubinadamu kabisa
Kuteka, kutesa na kuua ukimaliza hapo unapitia kibunda chako unaenda kula na familia pesa za damu, watoto wanajua baba karudi kazini kumbe karudi kuua mdomo koma JF watakulima banUtaua wangapi!? Hamna mtu atakae barikiwa na program hii hata hao wanaopewa amri za kufanya haya yote ni basi tu kila mtu anafanya kishingo upande na ndio maana kunatokea makosa mengi na ya wazi kiasi kwamba hata watoto wadogo wanabaini kila kitu bila kuuliza swali
Alisingiziwa nini? Wakati naye aliua na kuteka na kujeruhi?Magufuli alisingiziwa mengi na laana iwatafune wote waliomsingizia
Uchaguzi unakaribia, take out wale wapinzania ambao ni vikwazo kwa harakati zaoYaani! Hivi hii mission lengo lake ni nini haswa, na hata baada ya mission hiyo wanategemea nini, maana kila wanaeruka nae wanatokea wengine kadhaa, ina saidia nini, na sasa imekua too much yaani too much