CHADEMA: Khamis Omary amepatikana akiwa kituo Cha Polisi Chato, ambako awali Polisi walisema hawajamshikilia katika kituo hicho

CHADEMA: Khamis Omary amepatikana akiwa kituo Cha Polisi Chato, ambako awali Polisi walisema hawajamshikilia katika kituo hicho

LAZIMA uelewe dhamira (intention ) ya majeshi na mafunzo wanayopewa. Dhamira na nidhamu inasimamiwa na wataalamu wake na si mihemko ya anayefundishwa.

Nakukumbusha mafunzo yote, na siraha zote za kijeshi dhamira (intention) yake nikutunza Uhai kwanza.

Kufundishwa kurenga shabaha au kupewa siraha haimaanishi ukatoe Uhai ndugu. Intention ni kulinda Uhai kwakumpa mfunzwa ujasiri. Hiyo ya kuua ni dhamiri yako binafsi si ya jeshi. Ndio maana hizo siraha wanazimonitor hawakupi tu.

Hakuna mtu mwenye Haki na mamlaka juu ya Uhai wake mwenyewe au wa mtu mwingine. " Life Belongs only to God" Over.
Hata kuua kuliko fanywa kwa haki ni hivyo hivyo lengo siyo kuua wasio na hatia bali wanauliwa waovu pale inapo stahiki tu hatusemi kuua ovyo ovyo bila ya sababu za msingi na ndiyo hata majeshi yanavyo takiwa kufanya.
 
Manda Mano tar. 24/09/24 kupinga dhulma zifanywazo na hao polishi...
Na wasitulinde skuiyo tutajilinda wenyewe
 
Habari hii ni kwa mujibu wa John Mrema kupitia mtandao wa X.

Baada ya siku 14 za kuzungushwa kwenye vituo mbalimbali vya polisi akiwa amefungwa kitambaa usoni ,hatimaye Leo Khamis Omary Khamis amepatikana akiwa kituo Cha Polisi Chato, ambako awali polisi walisema hawajamshikilia katika kituo hicho.

Asanteni wote mliopaza sauti hatimaye msaidizi wa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Mkoa wa Geita amepatikana ndani ya kituo Cha Polisi Chato.Viongozi wetu wanafuatilia na tutawapa taarifa za kina baadaye Kuhusu afya yake pia tutawajulisha .Naamini hata wakina Deus Soka watapatikana tuu .

Tukutane tarehe 23 Dar Kwa Maandamano ya Amani kama watakuwa hawajapatikana !

Soma Pia:

CC chiembe
 
Wewe ni Aina ya watu wanye poor reasoning aka wapumbavu
 
Hata kuua kuliko fanywa kwa haki ni hivyo hivyo lengo siyo kuua wasio na hatia bali wanauliwa waovu pale inapo stahiki tu hatusemi kuua ovyo ovyo bila ya sababu za msingi na ndiyo hata masheshi yanavyo takiwa kufanya.
Hakuna mwanadamu mwenye Haki kamilifu hadi awe na mamlaka ya kuua kwa haki, ( wote tuna hatia) Haki ni kitu kikubwa sana tunajaribu tu kukikaribia. uovu hukumu yake si kuondoa Uhai.

Usishupae sana kwenye kuondoa Uhai wa mtu ndugu, awe mwovu au mwema ataondoka kwa muda wake.

Hakuna mwenye mamlaka na haki ya kuondoa Uhai wake mwenyewe au wa mwenzake zaidi ya aliyeuweka mwenye Haki timilifu. "Life Belongs only to God." Over

Hivi ndivyo yafanyavyo majeshi yenye nidhamu ambayo hayaja kengeuka.
 
Hakuna mwanadamu mwenye Haki kamilifu hadi awe na mamlaka ya kuua kwa haki, ( wote tuna hatia) Haki ni kitu kikubwa sana tunajaribu tu kukikaribia. uovu hukumu yake si kuondoa Uhai.

Usishupae sana kwenye kuondoa Uhai wa mtu ndugu, awe mwovu au mwema ataondoka kwa muda wake.

Hakuna mwenye mamlaka na haki ya kuondoa Uhai wake mwenyewe au wa mwenzake zaidi ya aliyeuweka mwenye Haki timilifu. "Life Belongs only to God." Over

Hivi ndivyo yafanyavyo majeshi yenye nidhamu ambayo hayaja kengeuka.
Kwa hiyo kama haki ni kitu kikubwa basi tusikitende kwa sababu ni kitu kikubwa sana nani kakuambia haki ni kwenye kuua tu...kama kuua kwa haki ni haramu basi kila tendo la haki ni haramu ..hivyo tusitende haki yoyote.
 
Habari hii ni kwa mujibu wa John Mrema kupitia mtandao wa X.

Baada ya siku 14 za kuzungushwa kwenye vituo mbalimbali vya polisi akiwa amefungwa kitambaa usoni ,hatimaye Leo Khamis Omary Khamis amepatikana akiwa kituo Cha Polisi Chato, ambako awali polisi walisema hawajamshikilia katika kituo hicho.

Asanteni wote mliopaza sauti hatimaye msaidizi wa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Mkoa wa Geita amepatikana ndani ya kituo Cha Polisi Chato.Viongozi wetu wanafuatilia na tutawapa taarifa za kina baadaye Kuhusu afya yake pia tutawajulisha .Naamini hata wakina Deus Soka watapatikana tuu .

Tukutane tarehe 23 Dar Kwa Maandamano ya Amani kama watakuwa hawajapatikana !

Soma Pia:

Mungu ni Mwema sana, na ashukuriwe na watu wote wema.
 
Habari hii ni kwa mujibu wa John Mrema kupitia mtandao wa X.

Baada ya siku 14 za kuzungushwa kwenye vituo mbalimbali vya polisi akiwa amefungwa kitambaa usoni ,hatimaye Leo Khamis Omary Khamis amepatikana akiwa kituo Cha Polisi Chato, ambako awali polisi walisema hawajamshikilia katika kituo hicho.

Asanteni wote mliopaza sauti hatimaye msaidizi wa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Mkoa wa Geita amepatikana ndani ya kituo Cha Polisi Chato.Viongozi wetu wanafuatilia na tutawapa taarifa za kina baadaye Kuhusu afya yake pia tutawajulisha .Naamini hata wakina Deus Soka watapatikana tuu .

Tukutane tarehe 23 Dar Kwa Maandamano ya Amani kama watakuwa hawajapatikana !

Soma Pia:


Jamani jamani sasa wakuu wetu watalisemeaje hili kuhusu tuhuma za Polisi / vyombo vya usalama kuteka watu?? Kuba na lila la Tanga vilevile.
Lucas maoni yako pls
 
Kwa hiyo mitume na manabii wote ni wa dhalimu ....mahakama unazo zijua wewe leo hii siyo ilivyo kuwa miaka ya kale ....kwa akili zako unadhani neno haki ndiyo mahakama ? Wewe ni mpumbavu kitu pekee kinacho halalisha hukumu ya kifo ni HAKI tu Siyo mahakama maana hata mahakama inaweza kutokutoa hukumu ya haki tena ukizingatia mahakama zinaendeshwa kwa mijibu wa sheria na neno sheria haimaanishi ni haki ...kama ni mkristo kumbuka yesu alihukumiwa mahakamani chini ya hakimu pilato na hukumu haikuwa ya haki...ukiniuliza mimi mwenyewe akili timamu mahakama ni nini ? Basi ningekujibu kuwa mahakama ni maisha yako ya siku kwa siku unatakiwa kuhukumu haki ....swali je umesema kuhukumu kifo ni mahakama tu je jambazi.likiwa linataka kukuua li likupole mali zako wewe ukaliua mbona mahakama awakutii hatiani kwa kuliua jambazi lililo taka kukuua? Ndiyo nikakuambia kuwa kila mwanadamu ni hakimu ila kinacho takiwa ni kuhukumu haki kwenye huo uhakimu wako.
Upeo wako ni mdogo sana ndiyo maana hujaelewa nilichoandika. Una akili kama za yule muuaji Magufuli unayemshabikia, na haya ni matokeo ya shule za kata. Unajua tofauti ya ''hukumu'' na ''kujitetea''? Tafuta maana ya maneno haya ndiyo tuendelee!
 
Upeo wako ni mdogo sana ndiyo maana hujaelewa nilichoandika. Una akili kama za yule muuaji Magufuli unayemshabikia, na haya ni matokeo ya shule za kata. Unajua tofauti ya ''hukumu'' na ''kujitetea''? Tafuta maana ya maneno haya ndiyo tuendelee!
Wewe kijambio cha ccm tumia akili nimekuuliza unashindwa kujibu binadamu aliishi duniani kabla ya hizo mahakama unazo zitambua wewe zuzuna kabla ya vyuo vya kusomea uhakimu ...elewa kuwa mahakama ya kwanza ni wewe mwenyewe ...hata huko unakoita kujitetea kunakuja baada ya wewe nafsini mwako kutoa hukumu ya kujitetea kitu kinacho takiwa ni hiyo hukumu unayotoaiwe ya haki ...maana hata majambazi huwa yanajitetea pia na wahalifu huwa wanajitetea tofauti ni kwamba mwalifu anajitetea kinyume na haki au dhidi ya haki hivyo kujitetea pia kunatakiwa kuwe kumetokana na haki.
 
Wewe kijambio cha ccm tumia akili nimekuuliza unashindwa kujibu binadamu aliishi duniani kabla ya hizo mahakama unazo zitambua wewe zuzuna kabla ya vyuo vya kusomea uhakimu ...elewa kuwa mahakama ya kwanza ni wewe mwenyewe ...hata huko unakoita kujitetea kunakuja baada ya wewe nafsini mwako kutoa hukumu ya kujitetea kitu kinacho takiwa ni hiyo hukumu unayotoaiwe ya haki ...maana hata majambazi huwa yanajitetea pia na wahalifu huwa wanajitetea tofauti ni kwamba mwalifu anajitetea kinyume na haki au dhidi ya haki hivyo kujitetea pia kunatakiwa kuwe kumetokana na haki.
It seems you are still stuck in the dark ages, a time when there was no rule of law and people lived by the law of the jungle, where might made right. It's time to move forward and embrace our modern, civilized society na achana na ushamba wako kama wa Magufuli.
 
Inasemekana hata kipindi Cha magufuli mama abduli alianzisha kikundi Cha utekaji Kwa Siri ili aonekane ni magufuli Kwa lengo la kumgombanisha na wananchi na hatimaye akafanikiwa kugombanisha
 
It seems you are still stuck in the dark ages, a time when there was no rule of law and people lived by the law of the jungle, where might made right. It's time to move forward and embrace our modern, civilized society na achana na ushamba wako kama wa Magufuli.
Huo upuuzi wako wa uzungu wa kutaka kuolewa na mwanaume mwezio peleka huko huko waliko kufundisha uzungu ...ndiyo nyinyi wapumbavu mnao ambiwa kuoa wake wengi ni haramu ila mwanaume kuoa na kuolewa na mwanaume mwenzie ni haki za binadamu...stupid
 
Huo upuuzi wako wa uzungu wa kutaka kuolewa na mwanaume mwezio peleka huko huko waliko kufundisha uzungu ...ndiyo nyinyi wapumbavu mnao ambiwa kuoa wake wengi ni haramu ila mwanaume kuoa na kuolewa na mwanaume mwenzie ni haki za binadamu...stupid
You are just another idiot! Need to say more? Zile zile fikra mfu za Magufuli anasema wanataka kumuua kwa barakoa wakati amewekewa pacemaker!
 
Kuua au kuteka siyo tatizo ...tatizo ni kuteka kwa ajili ya haki au kuteka dhidi ya haki ...kuua damu isiyo a hatia ndiyo kosa ila kuua damu chafu yenye hatia siyo kosa ...JPM alisimama kwenye uzalendo na haki....ukiuliwa basi umeuliwa kwa haki na ukitekwa hivyo hivyo ...samia ana teka raia wema na kuwalinda mafisadi na waovu ...tumia akili achakutumia kijambio kufikiri....
Hilo nakubaliana na wewe.

Migaidi ya kibiti ndo yalichinjwa na kujazwa kwenye viroba, wakaogopa na kusambaratika.

Ilitumika nguvu kubwa kuliokoa Taifa.

Hata hivyo walioiandaa oparesheni hiyo walifanya kosa la kiufundi kutokuandaa eneo la kuzikia maiti za mujahidini hao.

Kawaida inapoandaliwa operesheni kama hiyo lazima itengenezwe Echeloni kwa ajili ya kuhoji mateka, kuwauwa na kuwazika na ikionekana inafaa kuwavuna viuongo kwa ajili ya matibabu ya raia wema na tafiti za kisayansi.

Kosa hilo la kiufundi walilofanya lilichafua image ya Serikali hadi leo, wakati walifanya hivyo kwa nia njema.
 
Hilo nakubaliana na wewe.

Migaidi ya kibiti ndo yalichinjwa na kujazwa kwenye viroba, wakaogopa na kusambaratika.

Ilitumika nguvu kubwa kuliokoa Taifa.

Hata hivyo walioiandaa oparesheni hiyo walifanya kosa la kiufundi kutokuandaa eneo la kuzikia maiti za mujahidini hao.

Kawaida inapoandaliwa operesheni kama hiyo lazima itengenezwe Echeloni kwa ajili ya kuhoji mateka, kuwauwa na kuwazika na ikionekana inafaa kuwavuna viuongo kwa ajili ya matibabu ya raia wema na tafiti za kisayansi.

Kosa hilo la kiufundi walilofanya lilichafua image ya Serikali hadi leo, wakati walifanya hivyo kwa nia njema.
Magaidi wa kibiti, waua abdino, majambazi wote hao tulijaza wa kutosha kwenye viroba ni haki yao ..ndiyo maana uovu ulipungua nchini.
 
Back
Top Bottom