News outlets zote zilikuwa busy ku report habari za vikao vya Chadema. Kila news outlet iliandika ilichokuwa inakifikiria. mara wamepigana, mara Lisu kawekwa kitimoto, mara hili na lile etc etc.
Machawa CCM walipagawa kote kwenye upenyo wa kuandika lolote kuhusu vikao hivyo! JF ndiyo usiseme, machawa walijazana kuripoti kilichokuwa kinaendelela kwenye vikao as if walikuwa kwenye vikao kama waalikwa wa kuripoti proceedigs za vikao!
Sasa nchi imetulia bada ya vikao kuisha.
Chadema kiboko!
Machawa CCM walipagawa kote kwenye upenyo wa kuandika lolote kuhusu vikao hivyo! JF ndiyo usiseme, machawa walijazana kuripoti kilichokuwa kinaendelela kwenye vikao as if walikuwa kwenye vikao kama waalikwa wa kuripoti proceedigs za vikao!
Sasa nchi imetulia bada ya vikao kuisha.
Chadema kiboko!