soma tena between lines. Kuna mahali nimeandika chadema inashangilia?Mzee Chadema si ndio chama kikuu cha upinzani? Sasa chama kikuu cha upinzani kinashangilia kuandikwa kweli ? Au hakijiamini tena?
Mkuu the system wamesitisha operation au hii move ya CDM ni mpango wa DP?Serikali yeti ya ccm imetumia roboti bungeni na vikao vya kamati kuu ku deviate hoja za muungano ambazo hazina majibu!!
Ccm tujifunze ku go for it not to escape from it...
whatever!
Ame act smart ku wa outshine dp.Mkuu the system wamesitisha operation au hii move ya CDM ni mpango wa DP?
Wewe mwenyewe huna uhakika na hujui kilichojadiliwa ni unaa tu unaokusumbua!News outlets zote zilikuwa busy ku report habari za vikao vya chaema. Kila news outlet iliandika ilichokuwa inakifikiria. mara wamepigana, mara Lisu kawekwa kitimoto, mara hili na lile etc etc.
Machawa CCM walipagawa kote kwenye upenyo wa kuandika lolote kuhusu vikao hivyo! JF ndiyo usiseme, machawa walijazana kuripoti kilichokuwa kinaendelela kwenye vikao as if walikuwa kwenye vikao kama waalikwa wa kuripoti proceedigs za vikao!!!!
sasa nchi imetulia bada ya vikao kuisha.
Chadema kiboko!
Umeelewa mada ?Mzee Chadema si ndio chama kikuu cha upinzani? Sasa chama kikuu cha upinzani kinashangilia kuandikwa kweli ? Au hakijiamini tena?
Chadema imeshakufa,ni muda tuu.News outlets zote zilikuwa busy ku report habari za vikao vya Chadema. Kila news outlet iliandika ilichokuwa inakifikiria. mara wamepigana, mara Lisu kawekwa kitimoto, mara hili na lile etc etc.
Machawa CCM walipagawa kote kwenye upenyo wa kuandika lolote kuhusu vikao hivyo! JF ndiyo usiseme, machawa walijazana kuripoti kilichokuwa kinaendelela kwenye vikao as if walikuwa kwenye vikao kama waalikwa wa kuripoti proceedigs za vikao!
Sasa nchi imetulia bada ya vikao kuisha.
Chadema kiboko!
Aliekufa ni magufuli sio Chadema Toka usingizini wewe kichaa.Chadema imeshakufa,ni muda tuu.
umemaliza kazi, asante sanaAliekufa ni magufuli sio Chadema Toka usingizini wewe kichaa.
Team mahususi ya Chadema ya Kijasusi ni BalaaNews outlets zote zilikuwa busy ku report habari za vikao vya Chadema. Kila news outlet iliandika ilichokuwa inakifikiria. mara wamepigana, mara Lisu kawekwa kitimoto, mara hili na lile etc etc.
Machawa CCM walipagawa kote kwenye upenyo wa kuandika lolote kuhusu vikao hivyo! JF ndiyo usiseme, machawa walijazana kuripoti kilichokuwa kinaendelela kwenye vikao as if walikuwa kwenye vikao kama waalikwa wa kuripoti proceedigs za vikao!
Sasa nchi imetulia bada ya vikao kuisha.
Chadema kiboko!
Kichaa ni anaechangishwa kumnunulia lissu gari wakati yeye hata kiatu hana.Aliekufa ni magufuli sio Chadema Toka usingizini wewe kichaa.