Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Chadema ndio chama kikuu cha upinzani,but they are abdicating their responsibility. Ni kazi yao kuwakaribisha watu wote wanaoipinga serikali. Sasa inawakuwaje Sauti ya Watanganyika inawataka wadhamini mkutano wao,Chadema haitaki kuhusika?
Siyo kila mtu anataka DP World wapewe bandari zetu.
Kwa hiyo Chadema wanapaswa huhost mikutano ya Sauti ya Watanganyola. They don't have to speak nothing.
Hata Uingereza,Mwalimu Nyerere anasema kulikuwa na ubishi mkubwa walipotaka kuanzisha vyama vya upinzani,kwa sababu mfalme slikuwa anapinga kuwepo vyama vya upinzani.
Halafu,Mwalimu Nyerere akasema,mfalme akaamua kwamba ataruhusu upinzani. Like chama cha upinzani kitaitwa "His Majesty's Oppsition Party."
Kwa hiyo Chadema iwe umbrella party kwa mtu yoyote anayepinga serikali.
Kwa sababu Naina jspa watu wanapeana hela nyingi supposedly,wanataka kusheherekea kumuenzi Mwalimu Nyerere,and elbowing other people aside.
Siyo kila mtu anataka DP World wapewe bandari zetu.
Kwa hiyo Chadema wanapaswa huhost mikutano ya Sauti ya Watanganyola. They don't have to speak nothing.
Hata Uingereza,Mwalimu Nyerere anasema kulikuwa na ubishi mkubwa walipotaka kuanzisha vyama vya upinzani,kwa sababu mfalme slikuwa anapinga kuwepo vyama vya upinzani.
Halafu,Mwalimu Nyerere akasema,mfalme akaamua kwamba ataruhusu upinzani. Like chama cha upinzani kitaitwa "His Majesty's Oppsition Party."
Kwa hiyo Chadema iwe umbrella party kwa mtu yoyote anayepinga serikali.
Kwa sababu Naina jspa watu wanapeana hela nyingi supposedly,wanataka kusheherekea kumuenzi Mwalimu Nyerere,and elbowing other people aside.