Tetesi: CHADEMA kuandaa mkutano mkubwa wa hadhara kwa ajili ya kutangaza msamaha kwa Mdee na wenzake

Tetesi: CHADEMA kuandaa mkutano mkubwa wa hadhara kwa ajili ya kutangaza msamaha kwa Mdee na wenzake

Wakiomba msamaha wakasamehewa na chama kikapeleka majina mengine tofauti na hao Kuna tatizo Gani?

Au ikiteua baadhi ya waliomo na kuwaacha baadhi Kuna tatz Gani,

Kusamehe aliyeomba msamaha Kuna tatz Gani?
 
Covid 19 hawajawahi kuomba msamaha watasamehewaje. Kumbuka kamati kuu iliwafukuza na barakuu likawafukuza pia. Sasa msamaha lazima uanzie kamati kuu uje baraza kuu.
Kuna mmoja pale mahakamani aliomba kesi ikamaliziwe nje ya mahakama.
 
Kuna tetesi kwamba Chadema wameamua kuweka "silaha chini", na muda si mrefu watatangaza msamaha kwa Mdee na wenzake.

Mkutano mkubwa wa hadhara unapangwa ili kutangaza msamaha huo kwa msingi huohuo wa maridhiano, na wao wajikoshe kwamba hata kwao Kuna wema (charity begins at home).

Itakumbukwa kwamba wabunge hao ni wake na marafiki wa ndani sana wa viongozi hao, na kuna tetesi kwamba huwa wanafaidi mishahara yao, japo wakiwa jukwaani wanawapinga.

Baadhi ya viongozi waandamizi wa CDM wanasema kwamba Mdee na wenzake wanaendesha vita ngumu, na madhubuti, kwa hiyo ni bora tu watangaze msamaha.

Kwa mara ya kwanza mawakili wa GPO wamekata tamaa kutokana na Mdee na wenzake kukaa katika njia ya ukweli muda wote.
Mwongoooo

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kuna tetesi kwamba Chadema wameamua kuweka "silaha chini", na muda si mrefu watatangaza msamaha kwa Mdee na wenzake.

Mkutano mkubwa wa hadhara unapangwa ili kutangaza msamaha huo kwa msingi huohuo wa maridhiano, na wao wajikoshe kwamba hata kwao Kuna wema (charity begins at home).

Itakumbukwa kwamba wabunge hao ni wake na marafiki wa ndani sana wa viongozi hao, na kuna tetesi kwamba huwa wanafaidi mishahara yao, japo wakiwa jukwaani wanawapinga.

Baadhi ya viongozi waandamizi wa CDM wanasema kwamba Mdee na wenzake wanaendesha vita ngumu, na madhubuti, kwa hiyo ni bora tu watangaze msamaha.

Kwa mara ya kwanza mawakili wa GPO wamekata tamaa kutokana na Mdee na wenzake kukaa katika njia ya ukweli muda wote.
Sukuma gang mnahaha sana, your wishful thinking ni kwamba mamluki hao Covid-19 na hata mamluki Wilboard Slaa mnatamani waingie CDM ili kiwe na matundu ya kuweza kuwavuga kirahisi, sina uhakika uamuzi wao utakuwa vipi lakini wakiwakubali litakuwa ni kosa kubwa la kiufundi.
 
Back
Top Bottom