Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Hii tabia ya kuhusisha jina takatifu na hizi takataka za kisiasa nachukia san!!!Mungu akitaka kuua kitu huwa anakikuza kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii tabia ya kuhusisha jina takatifu na hizi takataka za kisiasa nachukia san!!!Mungu akitaka kuua kitu huwa anakikuza kwanza
EKA EKA =HEKAHEKARIWAYA; EKA EKA ZA MBOWE MLAMBA ASALI NA CHUPA YAKE YA KONYAGI....EPISODE YA KWANZA 1
Si kila uzi uujibu! Itakuwa aibu kwako kesho bwashee! Nakusubiria kama no navyomsubiri maskini Erythrocyte na COVID yakeUpuuzi toka lumumba umekuwa mwingi sana.
Wewe ni [emoji205] tu hapo wakisha amua utakuja na story za adui wa kudumuFake news
Kesi yao mbona imekwama muda mrefu haiendelei tatizo nini?Niko kwenye website ya chama na hakuna kitu kama hicho.
Kwa DJ Mbowe ni MLAMBA ASALI NA EKA EKA tatizo umeshindwa kusoma CODE ya RIWAYA YANGUEKA EKA =HEKAHEKA
MLAMBA =MRAMBA
Kumbe ni Sukuma gang, hivi mtachomoka kweli kwenye UJINGA?Kwa DJ Mbowe ni MLAMBA ASALI NA EKA EKA tatizo umeshindwa kusoma CODE ya RIWAYA YANGU
InaendeleaKesi yao mbona imekwama muda mrefu haiendelei tatizo nini?
Hao Jamaa zangu walipata fursa wakajiona ni miungu watu corona ikawarekebisha😁🤣Kumbe ni Sukuma gang, hivi mtachomoka kweli kwenye UJINGA?
Mbona nyinyi amtaki kuchomoka kwenye upumbavuKumbe ni Sukuma gang, hivi mtachomoka kweli kwenye UJINGA?
Kuna mmoja pale mahakamani aliomba kesi ikamaliziwe nje ya mahakama.Covid 19 hawajawahi kuomba msamaha watasamehewaje. Kumbuka kamati kuu iliwafukuza na barakuu likawafukuza pia. Sasa msamaha lazima uanzie kamati kuu uje baraza kuu.
Take my words, soon ndio utajua ulikuwa hujui
MwongooooKuna tetesi kwamba Chadema wameamua kuweka "silaha chini", na muda si mrefu watatangaza msamaha kwa Mdee na wenzake.
Mkutano mkubwa wa hadhara unapangwa ili kutangaza msamaha huo kwa msingi huohuo wa maridhiano, na wao wajikoshe kwamba hata kwao Kuna wema (charity begins at home).
Itakumbukwa kwamba wabunge hao ni wake na marafiki wa ndani sana wa viongozi hao, na kuna tetesi kwamba huwa wanafaidi mishahara yao, japo wakiwa jukwaani wanawapinga.
Baadhi ya viongozi waandamizi wa CDM wanasema kwamba Mdee na wenzake wanaendesha vita ngumu, na madhubuti, kwa hiyo ni bora tu watangaze msamaha.
Kwa mara ya kwanza mawakili wa GPO wamekata tamaa kutokana na Mdee na wenzake kukaa katika njia ya ukweli muda wote.
Sukuma gang mnahaha sana, your wishful thinking ni kwamba mamluki hao Covid-19 na hata mamluki Wilboard Slaa mnatamani waingie CDM ili kiwe na matundu ya kuweza kuwavuga kirahisi, sina uhakika uamuzi wao utakuwa vipi lakini wakiwakubali litakuwa ni kosa kubwa la kiufundi.Kuna tetesi kwamba Chadema wameamua kuweka "silaha chini", na muda si mrefu watatangaza msamaha kwa Mdee na wenzake.
Mkutano mkubwa wa hadhara unapangwa ili kutangaza msamaha huo kwa msingi huohuo wa maridhiano, na wao wajikoshe kwamba hata kwao Kuna wema (charity begins at home).
Itakumbukwa kwamba wabunge hao ni wake na marafiki wa ndani sana wa viongozi hao, na kuna tetesi kwamba huwa wanafaidi mishahara yao, japo wakiwa jukwaani wanawapinga.
Baadhi ya viongozi waandamizi wa CDM wanasema kwamba Mdee na wenzake wanaendesha vita ngumu, na madhubuti, kwa hiyo ni bora tu watangaze msamaha.
Kwa mara ya kwanza mawakili wa GPO wamekata tamaa kutokana na Mdee na wenzake kukaa katika njia ya ukweli muda wote.
Endelea kupiga ramliTake my words, soon ndio utajua ulikuwa hujui
Maskini hata hujui utaratibu wa mahakama kwenda likizo? Huko ccm kunafugwa wajinga tu siku hiziKesi yao mbona imekwama muda mrefu haiendelei tatizo nini?