Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kwani kukubali ni kulishwa maneno, mbona ripoti ya CAG iko wazi kwani wahusika wakuu ni CCM na ndio wanaokataa kuijadili huku sisi wenye hela zetu tukiufyata mkia!Usinilishe maneno
Mimi naongelea nchi masikini
Sisi ni matajiri
Maridhiano ni two way traffic au give and take. Hakuna "winner takes all".View attachment 2872561
Hatimaye CHADEMA imeamua kukata mzizi wa fitina kwa kuanika hadharani kila neno lililomo kwenye Nyaraka za Maridhiano yaliyovunjika baada ya CCM kuweka mpira Kwapani.
Kauli hiyo Thabiti imetolewa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho John Heche, aliyekuwa pia Mjumbe wa Timu ya Chadema ya Maridhiano.
Lengo la Jambo hilo Muhimu ni kuwezesha wananchi wote kujua kila kilichozungumzwa kwenye maridhiano hayo na kupima wenyewe utapeli wa ccm, lengo lingine kabambe ni kuhakikisha Viongozi wa CCM kuanzia Mwenyekiti wao wa Taifa WANAUMBUKA MBELE YA JAMII YA WATANZANIA KWA KUKWEPA HAKI NA KUKUMBATIA DHULUMA
Usithubutu kuondoka JF, Kama kawaida yetu tutakuwekea Uhondo wote hapa hapa katika mfumo ule ule wa kizuri kula na nduguyo.
Kikundi cha wahuni tuu.View attachment 2872561
Hatimaye CHADEMA imeamua kukata mzizi wa fitina kwa kuanika hadharani kila neno lililomo kwenye Nyaraka za Maridhiano yaliyovunjika baada ya CCM kuweka mpira Kwapani.
Kauli hiyo Thabiti imetolewa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho John Heche, aliyekuwa pia Mjumbe wa Timu ya Chadema ya Maridhiano.
Lengo la Jambo hilo Muhimu ni kuwezesha wananchi wote kujua kila kilichozungumzwa kwenye maridhiano hayo na kupima wenyewe utapeli wa ccm, lengo lingine kabambe ni kuhakikisha Viongozi wa CCM kuanzia Mwenyekiti wao wa Taifa WANAUMBUKA MBELE YA JAMII YA WATANZANIA KWA KUKWEPA HAKI NA KUKUMBATIA DHULUMA
Usithubutu kuondoka JF, Kama kawaida yetu tutakuwekea Uhondo wote hapa hapa katika mfumo ule ule wa kizuri kula na nduguyo.
Sasa wanaumbuliwaSisiemu ni matapeli.
usiondoke JFTutatoa tutatoa.
Acheni usanii nyie.
Toeni sasa.
Kumchinja kobe kunahitaji mahesabuSiku zote walikuwa wapi na wataaminika?
Kwaiyo ndio wakati wa kuchinja sasa?Kumchinja kobe kunahitaji mahesabu
Sijawahi kuondoka JF.usiondoke JF
Safi sana !Sijawahi kuondoka JF.
Yupo alipo Baba yako na utakokwenda wewe piaSasa unalia nini , halafu huyo JIWE mwenyewe yuko wapi leo ?