CHADEMA kuanza mchakato wa Katiba Mpya

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
14,242
Reaction score
34,903
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimesema kinaanza mchakato wa kudai katiba mpya katiba pendekezwa ya wananchi kwani ndio suluhu ya mambo yote yanayoendelea na figisufigisu zilizoendelea huko nyuma hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA huko Mkuranga Pwani kwenye Harambe ya Ujenzi wa ofisi ya CHADEMA.



Katibu Mkuu Dkt. Mashinji kwa niaba ya ofisi yake amechangia sh. 3,000,000 (milioni 3) cash kuchangia ujenzi wa ofisi ya Chadema wilaya ya Mkuranga.

Jumla ya ahadi ya fedha katika harambee ya kuchangia ofisi ya Chadema wilaya ya Mkuranga ni Tsh. 9,900,000

Pesa Taslim (Cash) 4,700,000
 
Ameagiza? duh nafikiri hii sio ishu ya kukaa ofisini na kuagiza, ni ishu ya kuzunguka na kuhimiza
Anyways mi jambo la muhimu kwa chadema nadhani wangekuwa wanapita kwa madiwani wao na mameya wabunge na kuwapa na kuwahimiza kufanya miradi ya maendeleo ili 2020 wawe na jambo la kuobyesha wananchi wao ni tofauti na ccm
 
CHADEMA itakuwa imara sana endapo Mwenyekt atakuwa ni strategist kama Prof.
 
Chadema ni chama chenye malengo miaka 100 ijayo

Long life chadema

Vivaviva
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…