Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,903
Usingekuwa unawewesekawatafeli kama walivyofeli kwenye UKUTA! chama kimebakiza matamko tuu
Hata hiyo inayojengwa ni yachadema chadema haikutaifisha majengoSi wajenge kwanza hapa Dar Makao Makuu? Ufipa inatia aibu sana sijui Ruzuku wanafanyia nini?
Ameanza kuwanyoshaHana mvuto
Pole sana kwa fikra mfuNaona Zitto amewapa shule.
Mkuu kabisa anafanya kazi kwa malengo ya mbali sanaSina wasiwasi na katibu mkuu
Hivi katibu Mkuu wenu ni nani?Hana mvuto
Ccm wao wamebakia kusoma number tuHakika chadema inapasua anga
Hahahah swali zuri sanaHivi katibu Mkuu wenu ni nani?