CHADEMA kuanza mchakato wa Katiba Mpya

Kuzinduka akili ni kuachana na Siasa za Wadanganyifu UKAWA period!
 
Kuzinduka akili ni kuachana na Siasa za Wadanganyifu UKAWA period!

kwahiyo chama tawala ndo wasema ukweli? mimi sifungamani na chama chochote kile lakini on the measure of truth nafikiri siasa za udanganyifu zinatoka chama tawala kwasababu katika miaka 45+ waliyoshika nchi ni mengi yameahidiwa lakini hayajatimizwa au yanatimizwa nusu inaishia hapo.

sisemi kuwa upinzani ukishika nchi hali itabadilika kwasababu moja tu; HAWAJAPATA NAFASI YA KUTAWALA. watakapoweza kushika hatamu za urais ndipo tutaweza kuona kama nao ni wadanganyifu au la ila for the moment, CCM ndo chama tawala na so far, udanganyifu kwa kiasi kikubwa unawadondokea wao kama chama tawala.

hata ilani ya chama yenyewe imekuwa ikibezwa na baadhi ya wanachama wa CHAMA TAWALA sasa si udanganyifu huo? siasa sio mpira; UPINZANI sio UADUI; kuna haja ya kuachana na chuki zisizo na maana na kushutumiana kusiko na faida kwa nchi yetu na kupambana kwa hoja nzito zenye mashiko na ueledi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…