wewe ndugu nakuonea huruma maana suala la katiba mpya linakuhusu hata WEWE ikiwa CDM wameona vema kupigania basi Mwenyezi Mungu yupo atabariki uaminifu.
lakini wewe unafanya kana kwamba KATIBA MPYA ni suala la UPINZANI tu, hii katiba ya sasa hivi inayolinda wachache itakuumiza hata WEWE mwananchi unayeleta ushabiki wa kisiasa usiokuwa na manufaa kwa nchi yetu. labda kama wewe ni mmoja wa hao wachache wanaolindwa na hii katiba ya sasa lakini kama wewe ni "msakatonge" basi nakushauri achana siasa UCHWARA zinduka akili!