Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kikao hicho kitaongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe
Taarifa ya Chama hicho iliyosambazwa kwa Waandishi wa Habari hii hapa
Kesho tarehe 11 Septemba 2024 mwenyekiti wa Chama Taifa Freeman Mbowe atakuwa na kikao maalum na viongozi wa Chama na Mabaraza wa ngazi zote wa Kanda ya Pwani. Kikao hicho kitafanyika Makao Makuu Mikocheni Dar es salaam kuanzia saa tisa alasiri.
Taarifa ya Chama hicho iliyosambazwa kwa Waandishi wa Habari hii hapa
Kesho tarehe 11 Septemba 2024 mwenyekiti wa Chama Taifa Freeman Mbowe atakuwa na kikao maalum na viongozi wa Chama na Mabaraza wa ngazi zote wa Kanda ya Pwani. Kikao hicho kitafanyika Makao Makuu Mikocheni Dar es salaam kuanzia saa tisa alasiri.