Tetesi: CHADEMA kuitisha kikao cha kamati kuu kwa dharura kupanga mikakati ya kukabiliana na nguvu ya Makonda

Sasa mambo ya Chadema yanakuhusu nini? Si ungeendelea tu kuwapamba wale watu wako wa kila siku, pamoja na chama chako!!!
 
Sasa mambo ya Chadema yanakuhusu nini? Si ungeendelea tu kuwapamba wale watu wako wa kila siku, pamoja na chama chako!!!
Kwanini yasinihusu wakati wamekula na kutafuna kodi zetu kwa miaka yote? Kwanini nikae kimya napoona wanapotosha umma wa watanzania na kuleta uchonganishi dhidi ya serikali yetu.
 

Fatilia vizuri mambo yanayojiri kwenye office zenu dodoma

Utajua mambo yanavyofukuta
 
Kumbe wewe kiazi mbatata kweli,yaani Chadema wapoteze muda kwa huyo msema chochote? Alishindwa alivyokuwa na nguvu za dola akiwa RC tena na msaada wa CIC itakuwa sasa? Huyo awatetemeshe maccm wenzake ambao kula yao inategemea CCM na wateule wa Rais lakini kwa Chadema tunamuona sakala tu.
 
Huwezi ukaelewa nguvu ya Makonda maana bado bangi haijakutoka kichwani mwako.wenzio wanaoelewa nguvu yake na ushawishi wake tayari wameshaanza kutetemeka na kuchanganyikiwa.
 
Huwezi ukaelewa nguvu ya Makonda maana bado bangi haijakutoka kichwani mwako.wenzio wanaoelewa nguvu yake na ushawishi wake tayari wameshaanza kutetemeka na kuchanganyikiwa.
Wewe bwege nikuambie kitu,mimi naijua vizuri CCM na machinery zake zote kuliko wewe unayedandia dandia tu kusifia ujinga. Najua nafasi ya Makonda kikatiba kuliko wewe unayeendekeza ushabiki kama wa Simba na Yanga. Wala usijaribu kujilinganisha na mimj kuhusu siasa za nchi hii,hadi tumetoka huko tunajua upuuzi wote. Koma kabisa, endelea kujidhalilisha tu lakini hupati kitu kwani wewe si mmoja wao,wanakuona kama mkoma tu usiyestahili hata kugusa kamba za viatu vyao.
 
Hivi Huyu mtu ni mzima?

Au ndio uchawa unakuwa hivi?
 
Kwa hakika Makonda ni tishio la kweli kwa Chadema.Huwa haogopi kitu.
 
Makonda gani nawewe.hebu acha kuchosha watu.Huyo makonda wako ana kipi cha maana.au kuropoka ropoka kwako ndo cha maana.Dume zima ovyoo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…