Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Hamtaki rufaa ijadiliwe?๐๐๐๐๐๐
Hawa ndo wanasiasa wa upinzania Tanzania? Nchi hii ina vichekesho vingi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamtaki rufaa ijadiliwe?๐๐๐๐๐๐
Hawa ndo wanasiasa wa upinzania Tanzania? Nchi hii ina vichekesho vingi sana.
Mmechelewa jamvini karamu imeshaliwa.Taarifa kutoka vyanzo vya Uhakika ndani ya Chadema vinaeleza kwamba, Tayari tarehe ya kujadili rufaa ya Mgombea Uenyekiti wa Kanda ya Nyasa aliyeshindwa, Peter Msigwa imepangwa.
Inaelezwa kwamba hata kama Bwana Msigwa kaunga mkono Juhudi, bado rufaa yake hiyo itajadiliwa, Hii ni kwa sababu wote aliowatuhumu bado wako Chadema na wanapaswa kujitetea mbele ya Kamati Kuu na kwamba wakibainika kumhujumu Msigwa watachukuliwa hatua kali ili iwe fundisho kwa wengine wataojaribu kuhujumu chaguzi zijazo.
Kwa mujibu wa Taarifa hiyo watakaohojiwa na Kamati Kuu yumo Freeman Mbowe, Joseph Mbilinyi, John Mrema, Benson Kigaila, William Mungai , Peter Msigwa pamoja na wajumbe wawili wanaodaiwa kuzuiliwa kupiga kura, Imeelekezwa kwamba iwapo Msigwa atakatazwa na chama chake kipya kuja kwenye rufaa yake, basi video zake wakati akiongea na waandishi wa channel ten na TBC aliowaita nyumbani kwake zitatumika.
Habari nyingine inaeleza kwamba Tayari Chadema inao ushahidi wa miamala iliyonaswa, ambayo inatajwa kutoka kwa mtu anayeitwa "Mama Abdul" kama iliyoelezwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu, Majina ya Wahusika hao wote yatawekwa hadharani na wahusika wote watachukuliwa hatua.
Hutakiwi kukosa Taarifa hii muhimu ya kusafisha Chama
Aliowatuhumu bado wapo chadema, labda kama nao watahama kabla ya rufaaMmechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
Nimemtuhumu nani?Aliowatuhumu bado wapo chadema, labda kama nao watahama kabla ya rufaa
Sawa kiroboto LucaAkili za CHADEMA zinapaswa kupimwa na madaktari bingwa wa pale Mirembe.maana ukifikiria unaona ni kama kuna tatizo mahali ambapo hata wao hawajioni wala kujitambua kama wana tatizo hilo.
Shida wengi hamkufuatilia suala la Msigwa. Msigwa kwenye mdahalo na Sugu aliulizwa kuhusu kuwaita wanachama wa CHADEMA kuwa ni nyumbu. Akashindwa kujibu.Hapa CHADEMA wanakosea kama MSIGWA kwa nini walishindwa kuisikia rufaa ya Msigwa kwa wakati?Shida iko kwa CHADEMA Msigwa ameshaenda kwa sababu tu ya uzembe wa kutosikilizwa hata kama alikuwa wrong.Mambo mengine tumwachie Mungu maana vitu kama hivi havistahili kudekezwa,mnawapa maadui wa chama pointi za kuongea.
Tangu lini CCM pakawa patulivu.Too late!
-wafanye mengine kwa sasa!.
-Mtu amesha ondoka yupo pahala tulivu, better mends the patch!
Huyo mchungaji alikohamia wampeleke mirembe kwanza,tofauti atawapatia matatizo makubwa sana.Taarifa kutoka vyanzo vya Uhakika ndani ya Chadema vinaeleza kwamba, Tayari tarehe ya kujadili rufaa ya Mgombea Uenyekiti wa Kanda ya Nyasa aliyeshindwa, Peter Msigwa imepangwa.
Inaelezwa kwamba hata kama Bwana Msigwa kaunga mkono Juhudi, bado rufaa yake hiyo itajadiliwa, Hii ni kwa sababu wote aliowatuhumu bado wako Chadema na wanapaswa kujitetea mbele ya Kamati Kuu na kwamba wakibainika kumhujumu Msigwa watachukuliwa hatua kali ili iwe fundisho kwa wengine wataojaribu kuhujumu chaguzi zijazo.
Kwa mujibu wa Taarifa hiyo watakaohojiwa na Kamati Kuu yumo Freeman Mbowe, Joseph Mbilinyi, John Mrema, Benson Kigaila, William Mungai , Peter Msigwa pamoja na wajumbe wawili wanaodaiwa kuzuiliwa kupiga kura, Imeelekezwa kwamba iwapo Msigwa atakatazwa na chama chake kipya kuja kwenye rufaa yake, basi video zake wakati akiongea na waandishi wa channel ten na TBC aliowaita nyumbani kwake zitatumika.
Habari nyingine inaeleza kwamba Tayari Chadema inao ushahidi wa miamala iliyonaswa, ambayo inatajwa kutoka kwa mtu anayeitwa "Mama Abdul" kama iliyoelezwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu, Majina ya Wahusika hao wote yatawekwa hadharani na wahusika wote watachukuliwa hatua.
Hutakiwi kukosa Taarifa hii muhimu ya kusafisha Chama
Waliobaki kutuhumiwa na Msigwa waaadhibiwe kulinda heshima ya chama.kosa liko vilevile.Hapa CHADEMA wanakosea kama MSIGWA kwa nini walishindwa kuisikia rufaa ya Msigwa kwa wakati?Shida iko kwa CHADEMA Msigwa ameshaenda kwa sababu tu ya uzembe wa kutosikilizwa hata kama alikuwa wrong.Mambo mengine tumwachie Mungu maana vitu kama hivi havistahili kudekezwa,mnawapa maadui wa chama pointi za kuongea.
Chadema kuna ubwege mwingi sana ๐Lengo kuu siyo Msigwa tumelenga kudeal na aliowatuhumu, Msigwa ni Whilstle brower tu
Hiyo clip inafikirisha .Huyo mchungaji alikohamia wampeleke mirembe kwanza,tofauti atawapatia matatizo makubwa sana.
Vyema. Lazima kumbukumbu inyoroshwe. Kakata rufaa, lazima jalada lifungwe, kikatiba.Taarifa kutoka vyanzo vya Uhakika ndani ya Chadema vinaeleza kwamba, Tayari tarehe ya kujadili rufaa ya Mgombea Uenyekiti wa Kanda ya Nyasa aliyeshindwa, Peter Msigwa imepangwa.
Inaelezwa kwamba hata kama Bwana Msigwa kaunga mkono Juhudi, bado rufaa yake hiyo itajadiliwa, Hii ni kwa sababu wote aliowatuhumu bado wako Chadema na wanapaswa kujitetea mbele ya Kamati Kuu na kwamba wakibainika kumhujumu Msigwa watachukuliwa hatua kali ili iwe fundisho kwa wengine wataojaribu kuhujumu chaguzi zijazo.
Kwa mujibu wa Taarifa hiyo watakaohojiwa na Kamati Kuu yumo Freeman Mbowe, Joseph Mbilinyi, John Mrema, Benson Kigaila, William Mungai , Peter Msigwa pamoja na wajumbe wawili wanaodaiwa kuzuiliwa kupiga kura, Imeelekezwa kwamba iwapo Msigwa atakatazwa na chama chake kipya kuja kwenye rufaa yake, basi video zake wakati akiongea na waandishi wa channel ten na TBC aliowaita nyumbani kwake zitatumika.
Habari nyingine inaeleza kwamba Tayari Chadema inao ushahidi wa miamala iliyonaswa, ambayo inatajwa kutoka kwa mtu anayeitwa "Mama Abdul" kama iliyoelezwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu, Majina ya Wahusika hao wote yatawekwa hadharani na wahusika wote watachukuliwa hatua.
Hutakiwi kukosa Taarifa hii muhimu ya kusafisha Chama
Akili za CHADEMA zinapaswa kupimwa na madaktari bingwa wa pale Mirembe.maana ukifikiria unaona ni kama kuna tatizo mahali ambapo hata wao hawajioni wala kujitambua kama wana tatizo hilo.
Naona Chadema wananunua Asprin baada ya kupona maumivu ya kichwa...