Pre GE2025 CHADEMA kujadili Rufaa ya Msigwa hivi karibuni, Matokeo yake yatatolewa kwa vyombo vya habari

Pre GE2025 CHADEMA kujadili Rufaa ya Msigwa hivi karibuni, Matokeo yake yatatolewa kwa vyombo vya habari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Taarifa kutoka vyanzo vya Uhakika ndani ya Chadema vinaeleza kwamba, Tayari tarehe ya kujadili rufaa ya Mgombea Uenyekiti wa Kanda ya Nyasa aliyeshindwa, Peter Msigwa imepangwa.

Inaelezwa kwamba hata kama Bwana Msigwa kaunga mkono Juhudi, bado rufaa yake hiyo itajadiliwa, Hii ni kwa sababu wote aliowatuhumu bado wako Chadema na wanapaswa kujitetea mbele ya Kamati Kuu na kwamba wakibainika kumhujumu Msigwa watachukuliwa hatua kali ili iwe fundisho kwa wengine wataojaribu kuhujumu chaguzi zijazo.

Kwa mujibu wa Taarifa hiyo watakaohojiwa na Kamati Kuu yumo Freeman Mbowe, Joseph Mbilinyi, John Mrema, Benson Kigaila, William Mungai , Peter Msigwa pamoja na wajumbe wawili wanaodaiwa kuzuiliwa kupiga kura, Imeelekezwa kwamba iwapo Msigwa atakatazwa na chama chake kipya kuja kwenye rufaa yake, basi video zake wakati akiongea na waandishi wa channel ten na TBC aliowaita nyumbani kwake zitatumika.

Habari nyingine inaeleza kwamba Tayari Chadema inao ushahidi wa miamala iliyonaswa, ambayo inatajwa kutoka kwa mtu anayeitwa "Mama Abdul" kama iliyoelezwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu, Majina ya Wahusika hao wote yatawekwa hadharani na wahusika wote watachukuliwa hatua.

Hutakiwi kukosa Taarifa hii muhimu ya kusafisha Chama
Mmechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
 
Akili za CHADEMA zinapaswa kupimwa na madaktari bingwa wa pale Mirembe.maana ukifikiria unaona ni kama kuna tatizo mahali ambapo hata wao hawajioni wala kujitambua kama wana tatizo hilo.
 
Hapa CHADEMA wanakosea kama MSIGWA kwa nini walishindwa kuisikia rufaa ya Msigwa kwa wakati?Shida iko kwa CHADEMA Msigwa ameshaenda kwa sababu tu ya uzembe wa kutosikilizwa hata kama alikuwa wrong.Mambo mengine tumwachie Mungu maana vitu kama hivi havistahili kudekezwa,mnawapa maadui wa chama pointi za kuongea.
Shida wengi hamkufuatilia suala la Msigwa. Msigwa kwenye mdahalo na Sugu aliulizwa kuhusu kuwaita wanachama wa CHADEMA kuwa ni nyumbu. Akashindwa kujibu.
 
Taarifa kutoka vyanzo vya Uhakika ndani ya Chadema vinaeleza kwamba, Tayari tarehe ya kujadili rufaa ya Mgombea Uenyekiti wa Kanda ya Nyasa aliyeshindwa, Peter Msigwa imepangwa.

Inaelezwa kwamba hata kama Bwana Msigwa kaunga mkono Juhudi, bado rufaa yake hiyo itajadiliwa, Hii ni kwa sababu wote aliowatuhumu bado wako Chadema na wanapaswa kujitetea mbele ya Kamati Kuu na kwamba wakibainika kumhujumu Msigwa watachukuliwa hatua kali ili iwe fundisho kwa wengine wataojaribu kuhujumu chaguzi zijazo.

Kwa mujibu wa Taarifa hiyo watakaohojiwa na Kamati Kuu yumo Freeman Mbowe, Joseph Mbilinyi, John Mrema, Benson Kigaila, William Mungai , Peter Msigwa pamoja na wajumbe wawili wanaodaiwa kuzuiliwa kupiga kura, Imeelekezwa kwamba iwapo Msigwa atakatazwa na chama chake kipya kuja kwenye rufaa yake, basi video zake wakati akiongea na waandishi wa channel ten na TBC aliowaita nyumbani kwake zitatumika.

Habari nyingine inaeleza kwamba Tayari Chadema inao ushahidi wa miamala iliyonaswa, ambayo inatajwa kutoka kwa mtu anayeitwa "Mama Abdul" kama iliyoelezwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu, Majina ya Wahusika hao wote yatawekwa hadharani na wahusika wote watachukuliwa hatua.

Hutakiwi kukosa Taarifa hii muhimu ya kusafisha Chama
Huyo mchungaji alikohamia wampeleke mirembe kwanza,tofauti atawapatia matatizo makubwa sana.
 

Attachments

  • VID-20240701-WA0005.mp4
    1.5 MB
Hapa CHADEMA wanakosea kama MSIGWA kwa nini walishindwa kuisikia rufaa ya Msigwa kwa wakati?Shida iko kwa CHADEMA Msigwa ameshaenda kwa sababu tu ya uzembe wa kutosikilizwa hata kama alikuwa wrong.Mambo mengine tumwachie Mungu maana vitu kama hivi havistahili kudekezwa,mnawapa maadui wa chama pointi za kuongea.
Waliobaki kutuhumiwa na Msigwa waaadhibiwe kulinda heshima ya chama.kosa liko vilevile.
 
Taarifa kutoka vyanzo vya Uhakika ndani ya Chadema vinaeleza kwamba, Tayari tarehe ya kujadili rufaa ya Mgombea Uenyekiti wa Kanda ya Nyasa aliyeshindwa, Peter Msigwa imepangwa.

Inaelezwa kwamba hata kama Bwana Msigwa kaunga mkono Juhudi, bado rufaa yake hiyo itajadiliwa, Hii ni kwa sababu wote aliowatuhumu bado wako Chadema na wanapaswa kujitetea mbele ya Kamati Kuu na kwamba wakibainika kumhujumu Msigwa watachukuliwa hatua kali ili iwe fundisho kwa wengine wataojaribu kuhujumu chaguzi zijazo.

Kwa mujibu wa Taarifa hiyo watakaohojiwa na Kamati Kuu yumo Freeman Mbowe, Joseph Mbilinyi, John Mrema, Benson Kigaila, William Mungai , Peter Msigwa pamoja na wajumbe wawili wanaodaiwa kuzuiliwa kupiga kura, Imeelekezwa kwamba iwapo Msigwa atakatazwa na chama chake kipya kuja kwenye rufaa yake, basi video zake wakati akiongea na waandishi wa channel ten na TBC aliowaita nyumbani kwake zitatumika.

Habari nyingine inaeleza kwamba Tayari Chadema inao ushahidi wa miamala iliyonaswa, ambayo inatajwa kutoka kwa mtu anayeitwa "Mama Abdul" kama iliyoelezwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu, Majina ya Wahusika hao wote yatawekwa hadharani na wahusika wote watachukuliwa hatua.

Hutakiwi kukosa Taarifa hii muhimu ya kusafisha Chama
Vyema. Lazima kumbukumbu inyoroshwe. Kakata rufaa, lazima jalada lifungwe, kikatiba.

Sasa, hii kumtaja na kumhusisha huyo โ€œmama Abduliโ€ mapema mapema sio kutaka attention ya dola - itie mkono? Au mna lengo la kuvutia kash kash rufaa ivurugike kabla ya kuanza au izue mengine yasiyo na tija.
 
Akili za CHADEMA zinapaswa kupimwa na madaktari bingwa wa pale Mirembe.maana ukifikiria unaona ni kama kuna tatizo mahali ambapo hata wao hawajioni wala kujitambua kama wana tatizo hilo.

Na wewe punguani wa kudumu umeona unaweza kuchangia kwenye hii hoja?

Hospitali yako ya Mirembe uliyopelekwa ukiwa sekondari naona bado unaikumbuka vizuri!!
 
Back
Top Bottom