Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Kwa mujibu wa gazeti la Raia Mwema, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, kipo njiani kupigilia msumari maamuzi ya kuwatimua uanachama akina Mdee na wenzake, Kisha kupeleka wabunge wengine wa viti maalumu bungeni.
Pia CHADEMA ipo tayari kupokea ruzuku, ikumbukwe kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku ya zaidi ya milioni 100 Kwa mwezi na takribani miezi 17 Sasa hawajachukua ruzuku toka uchaguzi mkuu wa 2020, hivyo wanadai zaidi ya Bilioni 1.7 za Kitanzania kutoka hazina
Source: Raia Mwema
Pia CHADEMA ipo tayari kupokea ruzuku, ikumbukwe kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku ya zaidi ya milioni 100 Kwa mwezi na takribani miezi 17 Sasa hawajachukua ruzuku toka uchaguzi mkuu wa 2020, hivyo wanadai zaidi ya Bilioni 1.7 za Kitanzania kutoka hazina
Source: Raia Mwema