ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Yaonekana watafuta kufukuzwa huko kijaniAcha iendelee kuishi… ili ione maendeleo yetu hatua Kwa hatua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaonekana watafuta kufukuzwa huko kijaniAcha iendelee kuishi… ili ione maendeleo yetu hatua Kwa hatua
Hayo mengine ni maelezo baada ya habari.
Ujinga tu.Ilikuaje jamaa akakaa mkao huo!!!!!
MaCCM yote akili zao hazina akiliNyie ndio werevu sio?View attachment 2137043
Kwenye kahawaNaambiwa kwamba RUZUKU inaingia na WANAILA.
NAAMBIWA!!
Kwenye kahawa kunaeleweka, hiyo itakuwa kwenye kijiwe Cha gongoKwenye kahawa
HatarHuo binjuko si wa kubanjuana huo ama mimi ndio sielewi?
Wajanja wa chichiemu etii🤪
Hili likifanyika ni jambo jema, hivi ndivyo nilivyoshauri hapa katika uzi huu.Kwa mujibu wa gazeti la Raia Mwema, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, kipo njiani kupigilia msumari maamuzi ya kuwatimua uanachama akina Mdee na wenzake, Kisha kupeleka wabunge wengine wa viti maalumu bungeni.
Pia CHADEMA ipo tayari kupokea ruzuku, ikumbukwe kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku ya zaidi ya milioni 100 Kwa mwezi na takribani miezi 17 Sasa hawajachukua ruzuku toka uchaguzi mkuu wa 2020, hivyo wanadai zaidi ya Bilioni 1.7 za Kitanzania kutoka hazina
Source: Raia Mwema
Huko ndio kurejesha kwa jamii kweli kweliHili likifanyika ni jambo jema, hivi ndivyo nilivyoshauri hapa katika uzi huu.
PCHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Japo mimi ni kada wa chama cha siasa na sio CHADEMA, ukada wangu, haunizuii kutoa ushauri kwa Chama chochote kukisaidia. Upendo wa kweli ni pale unapoona jirani yako ambaye ni kipofu, haoni mbele, anatembea na...www.jamiiforums.com
Kumbe unaambiwa, SAWaNaambiwa kwamba RUZUKU inaingia na WANAILA.
NAAMBIWA!!
P nimekusifia Bure wewe hurejeshi Kwa maslahi ya taifa unarejesha Kwa maslahi yako na chama chako, uchaguzi Gani ulikuwa huru na wahaki na ukiwa na dosari ndogo ndogo ni chama kipi kati ya chichiemu kilichogaragazwe kwenye chafuzi, Chadema kilifanya vyema kwenye uchaguzi ilhali ccm iligaragazwa, ila Sasa chadema iligaragazwa kwenye uchafuzi ulioratibiwa na Wana ccm Kwa msaada wa policcm na tume ccm🤔.Hili likifanyika ni jambo jema, hivi ndivyo nilivyoshauri hapa katika uzi huu.
PCHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Japo mimi ni kada wa chama cha siasa na sio CHADEMA, ukada wangu, haunizuii kutoa ushauri kwa Chama chochote kukisaidia. Upendo wa kweli ni pale unapoona jirani yako ambaye ni kipofu, haoni mbele, anatembea na...www.jamiiforums.com
Lakini akili zao hazijaandamwa na magonjwa anuai, Sasa hapo nani mzima wa akili⛹️Njaa zimewapanda utosini hawa makamanda uchwara.
Makamanda uchwara wa ufipa hawana akili....Sasa hapo nani mzima wa akili⛹️
Akili zipo hadi zinwagika, kiasi Cha kutuoneeni wivu hata wengine mnaamua kuwaficha Kwa kuhofia wingi wa akili zao zitawafuteni kwenye ramani pamoja na nyenzo zote mnazozimiliki🏋️Makamanda uchwara wa ufipa hawana akili.
Hapa issue ni survival, mwanzo waligomea matokeo na kusema hawautambui uchaguzi, hawayatambui matokeo na hawamtambui mshindi na wakagoma kuteua wabunge viti maalum.P nimekusifia Bure wewe hurejeshi Kwa maslahi ya taifa unarejesha Kwa maslahi yako na chama chako, uchaguzi Gani ulikuwa huru na wahaki na ukiwa na dosari ndogo ndogo ni chama kipi kati ya chichiemu kilichogaragazwe kwenye chafuzi, Chadema kilifanya vyema kwenye uchaguzi ilhali ccm iligaragazwa, ila Sasa chadema iligaragazwa kwenye uchafuzi ulioratibiwa na Wana ccm Kwa msaada wa policcm na tume ccm🤔.
Njaa zimewazidi hadi wamekubali yaishe ili wapate ruzuku.Akili zipo hadi zinwagika, kiasi Cha kutuoneeni wivu hata wengine mnaamua kuwaficha Kwa kuhofia wingi wa akili zao zitawafuteni kwenye ramani pamoja na nyenzo zote mnazozimiliki🏋️
Mliamuwa kuwanunua COVID 19,kwa kuwapa rushwa Tena kwakuwatisha, kwa msaada/mgongo wa mzee wa bakora, tumempa shinikizo hatimae ameona aibu akabwaga manyanga, na hivi Sasa tunalia na COVID-19, na tartiibu COVID 19 inaelekea kusarenda . Lengo letu tuokoe Kodi ya mlala hoi inayofujwa Kwa kutoa hongo kwa COVID-19. Sasa mnalia mipango yenu ovu imeshindwa na kuparaganyika. Mungu ni mwema kila wakati. Hasta magumu kwake siichochote.Njaa zimewazidi hadi wamekubali yaishe ili wapate ruzuku.