Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Titawataka wazirudishe🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️Vipi kuhusu hela zetu walipa kodi wanazohongwa akina Mdee? Ila kademu kazuri, wakaache
Ila kwa sasa kuna Challenge ya kukusanya 1B kwa siku saba (7), #JoinTheChain , Hii ni kuonyesha kuwa chama chaweza kujiendesha na kuendelea na harakati za kuitafuta HAKI, bila kutegemea hiyo ruzukuhivyo wanadai zaidi ya Bilioni 1.7
Suala la kina Mdee linanikera sana. Mpaka nahisi kuna baraka za chama kimya kimyaVipi kuhusu hela zetu walipa kodi wanazohongwa akina Mdee? Ila kademu kazuri, wakaache
Ipo wanakula tu,hawajawahi kuzira hapo.inapigwa juu kwa juu.Mnyika katulia tu pale anapiga mgao wake anatulia.Naambiwa kwamba RUZUKU inaingia na WANAILA.
NAAMBIWA!!
Unadai vipi ulichokikataa?Kwa mujibu wa gazeti la Raia Mwema, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, kipo njiani kupigilia msumari maamuzi ya kuwatimua uanachama akina Mdee na wenzake, Kisha kupeleka wabunge wengine wa viti maalumu bungeni.
Pia CHADEMA ipo tayari kupokea ruzuku, ikumbukwe kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku ya zaidi ya milioni 100 Kwa mwezi na takribani miezi 17 Sasa hawajachukua ruzuku toka uchaguzi mkuu wa 2020, hivyo wanadai zaidi ya Bilioni 1.7 za kitanzania kutoka hazina
Source: Raia Mwema
Unaambiwa na nani, kama mzee wa tiisiidiii sawa, kwani wengine mnatamani kuona chadema ikikata roho🤔Naambiwa kwamba RUZUKU inaingia na WANAILA.
NAAMBIWA!!
Kwa mujibu wa gazeti la Raia Mwema, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, kipo njiani kupigilia msumari maamuzi ya kuwatimua uanachama akina Mdee na wenzake, Kisha kupeleka wabunge wengine wa viti maalumu bungeni.
Pia CHADEMA ipo tayari kupokea ruzuku, ikumbukwe kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku ya zaidi ya milioni 100 Kwa mwezi na takribani miezi 17 Sasa hawajachukua ruzuku toka uchaguzi mkuu wa 2020, hivyo wanadai zaidi ya Bilioni 1.7 za kitanzania kutoka hazina
Source: Raia Mwema
Sasa kama hata huyu anakuendesha, wewe una hali ganiNyie ndio werevu sio?View attachment 2137043
Huna uhakika kaa kimya ....usilete hadithi za kusimuliwa!Naambiwa kwamba RUZUKU inaingia na WANAILA.
NAAMBIWA!!
utazani mko nao kumbe hovyo tuIpo wanakula tu,hawajawahi kuzira hapo.inapigwa juu kwa juu.Mnyika katulia tu pale anapiga mgao wake anatulia.
Ilikuaje jamaa akakaa mkao huo!!!!!Nyie ndio werevu sio?View attachment 2137043