CHADEMA kukubali kupokea ruzuku na kupeleka wabunge wengine wa viti maalum?

Ila kwa sasa kuna Challenge ya kukusanya 1B kwa siku saba (7), #JoinTheChain , Hii ni kuonyesha kuwa chama chaweza kujiendesha na kuendelea na harakati za kuitafuta HAKI, bila kutegemea hiyo ruzuku
Wajinga ndio waliwao
 
Njaa tupu huko ufipa.
 
Hapa negotiation si naaliyekataliwa kuwa sii mshindi, ila japo Bado wapo waliosehemu ya ushindi uliokataliwa, na pia uamuzi ni baada negotiation
 
Hapa negotiation si naaliyekataliwa kuwa sii mshindi, ila japo Bado wapo waliosehemu ya ushindi uliokataliwa, na pia uamuzi ni baada negotiation
Hakuna negotiations yoyote, kinachofanyika ni bowing down, hakuna tena kushupaza shingo, sasa ni kupiga magoti kunyenyekea.

Tena kwenye ile issue kule, atakutwa guilt na kupigwa mvua kadhaa, kisha Mama ataitekeleza ile "kusameheana kupo", atamsamehe na kutoka mabega chini!.
P
 
Kwanza watuambie kuwa wanakubali uchaguzi ulikuwa ni huru na haki
Akili za mavi, Yani wakiendelea bifu mnasema walitaka kumaliza mnasema Nia yenu nini sasa? Shenzi kabisa wewe
 
Akili za mavi, Yani wakiendelea bifu mnasema walitaka kumaliza mnasema Nia yenu nini sasa? Shenzi kabisa wewe

Shida yenu chadema ndio hiyo, mnakuwa kama wote wavuta bangi
 
Kodi ipo pale pale,kwani Covid-19 wapo bungeni wakiwakilisha Chadema.
 
Shida yenu chadema ndio hiyo, mnakuwa kama wote wavuta bangi
Kwa hiyo unataka waendelee kubishana tu? Taifa ni moja wacha wamalize tofauti zao, Kama sio mlozi utakuwa mchawi we mbwa.

Halafu sio kila anayekupinga mawazo yako ya kijinga unahisi ni chadema mjinga sana wewe.

Wacha watanzania wapatane umekaa kipashkuna sana mjinga sana wewe we need unity.
 

Sasa mpaka utukane? Uwez kuongea Kwa kawaida Tu? Hapa sio Badoo au Facebook, Acha ujinga wako,

Hapa watu wanashindana kwa hoja sio matusi,

Unaongea mambo hata ujui, unaongea vitu vya hewani Tu

Hao chadema wangekuwa wanataka kumaliza na kuelewana na serikali then since long time ingakuwa tayari

Shida yenu mnajifanya wajuaji sana namnadanganyana Sana,

Mmeeenda kulialia UN mbowe atoke mbona mpaka Leo Yuko ndani?

Mlijifanya mnaela mbona sasa mnaenda kudai ruzuku baada ya Harambee yenu kufeli?

Hakuna mtu anaweza kushindana na serikali Nyau mweusi ww
 
Unapaswa kutukanwa sababu ni mjinga sana unaongelea Badoo na Facebook unahisi mie wa huko sababu ni mpumbavu Kama wewe angalia nimejoin link stupid
 
Ndio tunapatana na Samia hatukumtaka yule bwanako aliyekufiiikirrr fala wewe go and fck yo slf
 
wanadai zaidi ya Bilioni 1.7 za Kitanzania kutoka hazina[emoji1534][emoji1533]
Mungu ibariki CHADEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…