Uchaguzi 2020 CHADEMA kukubali matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020

Uchaguzi 2020 CHADEMA kukubali matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020

Hawa watu inaonekana akili hawana, lakino hata masikio hawana?

Sent using Jamii Forums mobile app
Bams akili wanazo na masikio wanayo, wanaona na kusikia vyema kabisa ila kuna maneno ambayo hawayapendi. Neno kuu wasilolipenda ni HAKI, Tundu anasema kila wakati kuwa akishindwa kwa HAKI atakua wa kwanza kukubali matokeo. wao wanachokiubiri na kuimba ni amani, sasa bila HAKI hiyo amani itatoka wapi?
 
Nazani tujikite kuongelea .CCM ita kubari matokeo maana ata wale vijana wa UVCCM ni nguvu ya chips tu

SUBIRI KIDOGO
Hawataweza kushinda hata kidogo, hizo vurugu mnazofanya ili mpate huruma wananchi wanaojua mnazitafuta wenyewe,
Na siku ikitokea mkataka watu waingie barabarani labda mbowe na familia yake na Tundu na watoto wake ndo watakuwa huko barabarani,

Leo.kwa kisilani chake wacha alale nje na pale hatutaki achafue mazingira, mtajaza mandoo ya mavi pale na mtayatunza kwenye magari yenu.
Anatisha serikari?
 
Chadema ni ma ngiri hawana mpya,compaign wanafanya mijini,wengi wa mijini si wapiga kura ndo watajua hawajui QMMMK
 
Acha kupitisha lissu kila Mara anasisitiza kuwa mshindi ndio atangazwe
 
Back
Top Bottom