Kudai haki, demokrasia, mabadiliko nk kwa njia za amani siyo kosa kokote kule duniani.
Zaidi sana Chadema mmekuwa mkidai kuheshimiwa kwa katiba ya nchi iliyopo. Kwenye madai hayo mkakubali hadi kuingia kwenye maridhiano Ili kuiweka nia yenu hadharani.
Kila mwenye macho au kujali amemwona aliye mshari haswa kwenye hili ni nani.
Kufanya mikutano ya kisiasa ni haki yetu ya kikatiba. Kujaribu kuizuia mikutano hii kwa njia yoyote ni ukiukwaji mkubwa wa katiba usiokubalika.
Aliyeshupaza shingo, mwenye kutaka kuisigina katiba anajulikana.
Chadema mmefanya sehemu yenu.
Tunachosubiri sasa ni kusikia deadlines na hatua za kuchukua.
Chonde chonde mwaka mpya na mambo mapya.
Aluta continua!
Soma, Pia: Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan: Hadi sasa sijaona dalili yoyote ya utashi wa kuwepo kwa maridhiano ya kisiasa nchini
Zaidi sana Chadema mmekuwa mkidai kuheshimiwa kwa katiba ya nchi iliyopo. Kwenye madai hayo mkakubali hadi kuingia kwenye maridhiano Ili kuiweka nia yenu hadharani.
Kila mwenye macho au kujali amemwona aliye mshari haswa kwenye hili ni nani.
Kufanya mikutano ya kisiasa ni haki yetu ya kikatiba. Kujaribu kuizuia mikutano hii kwa njia yoyote ni ukiukwaji mkubwa wa katiba usiokubalika.
Aliyeshupaza shingo, mwenye kutaka kuisigina katiba anajulikana.
Chadema mmefanya sehemu yenu.
Tunachosubiri sasa ni kusikia deadlines na hatua za kuchukua.
Chonde chonde mwaka mpya na mambo mapya.
Aluta continua!
Soma, Pia: Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan: Hadi sasa sijaona dalili yoyote ya utashi wa kuwepo kwa maridhiano ya kisiasa nchini