CHADEMA kukwama kwa maridhiano wa kulaumiwa siyo nyie

CHADEMA kukwama kwa maridhiano wa kulaumiwa siyo nyie

Hayo MARIDHIANO fake nani anataka. CCM hana nia njema na thabiti kuyataka. Anataka vyama vyote vya upinzani viwe makoloni yake na ameshafanikiwa kwa ACT.
 
Kama hivi ndivyo basi sioni kosa la Mbowe kwenye huo msimamo wake, zaidi, nawashangaa wale wanaompigia kelele Mbowe.

Wasichojua ni kuwa Lema, Lissu, Kigaila, Mbowe, kamati kuu na Chadema kwa ujumla ni mtu yule yule.
 
Way back chadema ilikuwa na ushawishi sana sizani kama wataweza kuiludisha chadema Ile....
Daah pale ambapo wananchi wanasubiri ama CDM irudi au isambaratike. Hii nchi ina vituko sana.
 
Kama hivi ndivyo basi sioni kosa la Mbowe kwenye huo msimamo wake, zaidi, nawashangaa wale wanaompigia kelele Mbowe.
Mbowe ni STRATEGIC, wameachiwa huru wafungwa wengi sana wa kisiasa kupitia mazungumzo, jambo ambalo maandamano yangechukua muda.

Mkiwa mnajadiliana lazima mkubaliane trust ya mazungumzo, isingeleta maana Mbowe atoka meza ya maridhiano aanze kuripoti Kila walichozungumza kama yule aliyekuwa anaripoti Case ya COVID😃😃😃😃
 
Back
Top Bottom