CHADEMA kulifungulia Jeshi la Polisi kesi ya madai kwa kuchafuliwa

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Wanasheria wa CHADEMA wafungue kesi ya madai (defamation case) mahakamani.

1. Wahoji huo mkutano uliofanyika kwa njia ya mtandao (zoom) ulifanyika lini.

2. Polisi waonyeshe video clip ya mkutano huo.

3. Ni viongozi gani wa CHADEMA walihusika.

4. Hao Vijana 20 wanaoandaliwa kuvamia vituo vya polisi wako sehemu gani.

5. Jeshi la Polisi likishindwa kuonyesha ushahidi wa kutosha, CHADEMA idai kulipwa fidia ya 3B kwa kuchafuliwa jina mbele ya jamii.

Kumbuka Polisi iliwahi kuonyesha ushahidi wa picha za CCTV za uongo.
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Waka fungue kesi wapi sasa? Maana mahakama, poli, na bunge wamegeuka kuwa tawi la Ccm
 
Di Pii Pii atasema haitaki haina maslahi kwa Taifa.
 
mambo mengine ni matokeo ya kuamini sana ushirikiana na mazoea ya kuishi kwa kutaka umaarufu tu πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…