CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma, mambo yote yataanikwa na Wahusika wote watatajwa

CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma, mambo yote yataanikwa na Wahusika wote watatajwa

Taarifa iliyosambazwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo inaeleza kwamba, Chama hicho kinatarajia kuongea na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma 14/3/2023.

Bila shaka jambo kubwa linalozungumzwa Dunia nzima la Mauzo ya Bandari litaenda KUHITIMISHWA RASMI , taarifa za chini kwa chini zinadokeza kwamba kila kitu kinakwenda kuanikwa wazi kabisa.

Usiondoke JF.

View attachment 2656150
Manchester united Imeuzwa pia
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo

CHADEMA ndiyo tumaini la wengi na ndicho chama pekee cha siasa kinachoaminika na kuwapa imani wananchi wa Tanzania wanaojua umuhimu wa Uhuru, Haki kwa wote na Maendeleo ya Watu yaliyo halisia.


Mkataba wa mkoloni mweusi akishrikiana na DP World unafanana na ule wa The Kigoma Protocol wa mwaka 1924 miaka 100 iliyopita :

22. Exchange of notes accepting the protocol signed at Kigoma, on 5 august 1924, relative to the Tanganyika-Ruanda-Urundi frontier. Brussels, 17 May 192646,47​

(46League of Nations, Treaty Series, vol. 54, p. 239.)

(47See also the Agreement between the United Kingdom and Belgiun regarding Water Rights on the Boundary between Tanganyika and Ruanda-Urundi, London, 22 November 1934, in Legislative Texts and Treaty Provisions concerning the Utilization of International Rivers for Other Purposes than Navigation (United Nations publication, Sales No. 63.V.4), p. 97.)

No. 1 - The British Ambassador at Brussels to the Belgian Minister for Foreign Affairs

Brussels, 17 May 1926

Monsieur le Ministre,

I have the honour, under instructions from His Majesty's Principal Secretary of State for Foreign Affairs, to convey to Your Excellency by the present note the formal acceptance by His Majesty's Government of the Protocol signed at Kigoma on 5 August 1924, with its accompanying maps, as defining the boundary between Tanganyika territory and the Belgian mandated territory of Ruanda-Urundi.

I am at the same time instructed to draw the attention of the Belgian Government to paragraph 51 of the Protocol in question and to invite them to agree that, notwithstanding the new boundary in Lake Tanganyika which is defined by the said paragraph, all customary rights of fishing and passage exercised by natives living on either side of it should be preserved, but that, at the same time, even with regard to the rights of fishing and passage, the respective Governments should preserve their common law rights and should not, for instance, be debarred from levying a fishing tax on all persons alike who use their territorial waters.

I should be grateful if Your Excellency would be good enough to confirm to me that the Belgian Government is in agreement with His Majesty's Government with regard to the arrangements indicated in the preceding paragraph.

I avail myself of this opportunity, etc.

No. 2 - The Belgian Minister for Foreign Affairs to the British Ambassador at Brussels

Brussels, 17 May 1926

Your Excellency,

I have the honour to acknowledge receipt of your letter of today's date, in which you are good enough to inform the Royal Government that His Britannic Majesty's Government accepts the Protocol signed at Kigoma on August 5, 1924, with its accompanying maps, as defining the boundary between Tanganyika Territory and the Belgian mandated territory of Ruanda-Urundi.

The Belgian Government also approves these documents.

At the same time you draw the attention of the Belgian Government to paragraph 51 of the Protocol in question and invite them to agree that, notwithstanding the new boundary in Lake Tanganyika which is defined by the said paragraph, all customary rights of fishing and passage exercised by natives living on either side of it should be preserved, but that at the same time, even with regard to the rights of fishing and passage, the respective Governments should preserve their common law rights and should not, for instance, be debarred from levying a fishing tax on all persons alike who use their territorial waters.

The Belgian Government has the honour to confirm to Your Excellency that they are in agreement with His Britannic Majesty's Government with regard to these arrangements.

I have the honour to be, etc Source : 22. Exchange of notes accepting the protocol signed at Kigoma, on 5 august 1924, relative to the Tanganyika-Ruanda-Urundi frontier. Brussels, 17 may 192646,47
 
Lisuu au mbowe ,mbowe aliongea pumba sana
Kama wewe una akili na ufahamu kweli, hebu jibu maswali haya manne tu ambayo ndiyo msingi wa hoja za Freeman Mbowe na CHADEMA;

1. Unajua lakini kuwa sekta ya bandari ni suala la muungano?

2. Kama jibu lako ni NDIYO; basi wewe unadhani ni kwanini mkataba huu uzihusu bandari za Tanzania Bara (Tanganyika) pekee na kuziacha za Zanzibar chini ya mamlaka nyingine? Na kama jibu lako ni HAPANA, basi kaa kimya maana wewe ni MJINGA unahitaji kuelimishwa..!!

3. Kwa maamuzi haya, huoni kuwa Rais Samia (Mzanzibari) na waziri wake wa Ujenzi na Usafirishaji Prof. Mbarawa (Mzanzibari) na katibu wa wizara hiyo (Mzanzibari) wameamua kuiuza Tanganyika kwa waarabu na kuisalimisha Zanzibar? Huoni kuwa hawa wamevunja sheria na katiba ya JMT? Huoni kuwa kuna "bad intent" nyuma ya mkataba huu?

4. Mwisho, hivi unadhani ni nani anamiliki ukweli wa jambo hili? CCM? Rais Samia? Serikali ya CCM? Wabunge wa CCM? Spika wa bunge la kijinga la CCM chini ya Tulia Ackson? Kama unadhani hivyo, basi wewe ndie pumba kwelikweli..!!

MWISHO: Funguka akili, nchi yako ya Tanganyika inauzwa huku ukipiga vigelevigele..!!
 
Kumbe ule mkataba na mwarabu unatoa Exclusive Rights, kwamba sasa mwarabu ndie amegeuka kuwa bosi wetu kulingana na yale makubaliano tuliyoingia nae, yeye ndie atatuamrisha tufanye atakavyo, sisi tumegeuzwa watumwa!.

Kwa hali hii sasa naamini ile kauli ya Magufuli, hata ile gas yetu wakati wa awamu ya nne iliuzwa China, hasa nilipomsikia Dr. Slaa akisema hiyo bandari ilikuwa iuzwe toka awamu ya nne, bahati nzuri upinzani walipopata hizo taarifa, ndio wakaacha na JK akamfukuza kazi yule aliyetoa zile taarifa, nia ovu inaendelezwa.
 
Machifu wa Kisukuma huko Mwanza wameridhia uuzwaji wa Bandari za Tanganyika.
 
Taarifa iliyosambazwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo inaeleza kwamba, Chama hicho kinatarajia kuongea na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma 14/6/2023.

Bila shaka jambo kubwa linalozungumzwa Dunia nzima la Mauzo ya Bandari litaenda KUHITIMISHWA RASMI , taarifa za chini kwa chini zinadokeza kwamba kila kitu kinakwenda kuanikwa wazi kabisa.

Usiondoke JF.

View attachment 2656150
Vipi mikutano ya hadhara ya helcopter. Au Bilioni mbili zimeyeyuka 😂😂😂
 
Taarifa iliyosambazwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo inaeleza kwamba, Chama hicho kinatarajia kuongea na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma 14/6/2023.

Bila shaka jambo kubwa linalozungumzwa Dunia nzima la Mauzo ya Bandari litaenda KUHITIMISHWA RASMI , taarifa za chini kwa chini zinadokeza kwamba kila kitu kinakwenda kuanikwa wazi kabisa.

Usiondoke JF.

View attachment 2656150
Mbowe mjanja sana Hawa ndio anawatumia kukumbushia ruzuku ikikata yeye kimyaa ana piga kimya kimya mpunga
 
Sawa

Mchungaji Msigwa hatakagi ujinga

Alikataa ofa ya Shujaa ya kumlipia faini atoke Jela, Huyu jamaa nunda sana😄😄
Chadema hawahawa wanaochukia ruzuku ya kina Mdee (COVID 19) bil 2 kwa mwezi...
Hawana hata haya ...yaani ni sawa na majangili
 
Chadema hawahawa wanaochukia ruzuku ya kina Mdee (COVID 19) bil 2 kwa mwezi...
Hawana hata haya ...yaani ni sawa na majangili
Ruzuku za vyama hazihusiani na Wabunge wa viti maalum
 
Lakini mbona viongozi wao wako majuu wanakula bata kwa fedha zetu za ruzuku.
 
Hivi CHADEMA mnasubiri nini kuongoza maandamano?

Kuna zuio lolote kwani kuandamana?

Kauli hizo bila vitendo za nini?
 
Back
Top Bottom