Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hayakuhusu, haya ni mambo ya wanaume WA kiumeMichango haijatosha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayakuhusu, haya ni mambo ya wanaume WA kiumeMichango haijatosha!
Weraaaaaa.....Kuna Raha flani hivi kuwa CHADEMA! Basi Tu ila najua hata CCM wengi Wana admire spirit ya CHADEMA only that wametanguliza matumbo
Siku nikiji verify humu JF utapiga magoti kuomba radhi bila mafanikioTicha ni ngumu kuelewa.
sasa kama ualimu wa certificate ulidisco utaelewa vip mambo haya 🐒
umepanic huo ni uamuzi wako na kuomba radhi ni ungwana 🐒Siku nikiji verify humu JF utapiga magoti kuomba radhi bila mafanikio
Hujui kitu wewe !!Tunasubiri tusikie chama cha watoa taarifa wana taarifa gani mpya
Ninaijua CHADEMA kuliko unavyoijua wewe wa huko Maporini. Nimekulia jirani kabisa na anapoishi Mbowe. Baba yangu mkubwa alikuwa kada mkubwa wa CHADEMA enzi za uhai wake na hata siku ya mazishi yake jeneza lake lilifunikwa na bendera ya CHADEMA. Baada ya kujifunza mambo mengi kuhusu CHADEMA na CCM ndo nikaona CCM wana sera nzuri na ninaridhishwa na siasa zake za kidemokrasia. Nimejifunza haya mambo kwa watu sahihi na sio nyie hoyahoya.Hujui kitu wewe !!
Makao makuu ya mikocheni au Lumumba?makao makuu mkuu,
nafedheheka sana unajihadaa mwenywe 🤣
ya nchi kamanda 😀Makao makuu ya mikocheni au Lumumba?
Kumbe,ya nchi kamanda 😀
nbona humu hakuna upinzani sasa kamanda kuna watoa taarifa tu 😀Kumbe,
Jiandaeni kukabidhi Kwa upinzani, muda wenu umekwisha.
Aliyesema upinzani ni watoa taarifa, analalama mnataka kumwekea Sumu.nbona humu hakuna upinzani sasa kamanda kuna watoa taarifa tu 😀
tumeskiza maoni yenu, tumejadili na kupitisha sheria mpya ya uchaguzi na tume inakuja mambo si ndo hayo sasa mnataka nn tena...
Hatutafanya kazi kujiletea maendeleo bali tutakalia kufanya maandamano kweli, familia zitakula maandamano kweli. Inasemekana wengine wanalipwa.Hii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa na Chama hicho leo kwa watu wote Duniani, kwamba Mkutano huo utafanyika kwenye ofisi za kisasa za chama hicho zilizopo Nyegezi.
Bila shaka Ratiba ya Maandamano na njia za kupita Jijini Mwanza vitatolewa
View attachment 2896916
Labda wewe siyo mimiTunajua kwamba Wananchi wengi mnaifurahia Chadema , Hongereni sana
iyo iwekwe kwenye katiba, right?Aliyesema upinzani ni watoa taarifa, analalama mnataka kumwekea Sumu.
Ndomana nawaambia mwisho wenu umefika.
Umeandika kimasikini mno !Ninaijua CHADEMA kuliko unavyoijua wewe wa huko Maporini. Nimekulia jirani kabisa na anapoishi Mbowe. Baba yangu mkubwa alikuwa kada mkubwa wa CHADEMA enzi za uhai wake na hata siku ya mazishi yake jeneza lake lilifunikwa na bendera ya CHADEMA. Baada ya kujifunza mambo mengi kuhusu CHADEMA na CCM ndo nikaona CCM wana sera nzuri na ninaridhishwa na siasa zake za kidemokrasia. Nimejifunza haya mambo kwa watu sahihi na sio nyie hoyahoya.
Kwa mtazamo wako wa kinyumbu uko sahihi kabisa 100%.Umeandika kimasikini mno !
Lini wataongelea wakiwa Hai KilimanjaroHii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa na Chama hicho leo kwa watu wote Duniani, kwamba Mkutano huo utafanyika kwenye ofisi za kisasa za chama hicho zilizopo Nyegezi.
Bila shaka Ratiba ya Maandamano na njia za kupita Jijini Mwanza vitatolewa
View attachment 2896916
Hai hakuna ofisi ya kandaLini wataongelea wakiwa Hai Kilimanjaro
USSR
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app