Chadema kuongea na Waandishi wa Habari kwenye ofisi ya Kanda ya Ziwa Victoria, Mwanza

Chadema kuongea na Waandishi wa Habari kwenye ofisi ya Kanda ya Ziwa Victoria, Mwanza

Tunasubiri tusikie chama cha watoa taarifa wana taarifa gani mpya
 
Hujui kitu wewe !!
Ninaijua CHADEMA kuliko unavyoijua wewe wa huko Maporini. Nimekulia jirani kabisa na anapoishi Mbowe. Baba yangu mkubwa alikuwa kada mkubwa wa CHADEMA enzi za uhai wake na hata siku ya mazishi yake jeneza lake lilifunikwa na bendera ya CHADEMA. Baada ya kujifunza mambo mengi kuhusu CHADEMA na CCM ndo nikaona CCM wana sera nzuri na ninaridhishwa na siasa zake za kidemokrasia. Nimejifunza haya mambo kwa watu sahihi na sio nyie hoyahoya.
 
Kumbe,

Jiandaeni kukabidhi Kwa upinzani, muda wenu umekwisha.
nbona humu hakuna upinzani sasa kamanda kuna watoa taarifa tu 😀

tumeskiza maoni yenu, tumejadili na kupitisha sheria mpya ya uchaguzi na tume inakuja mambo si ndo hayo sasa mnataka nn tena...
 
nbona humu hakuna upinzani sasa kamanda kuna watoa taarifa tu 😀

tumeskiza maoni yenu, tumejadili na kupitisha sheria mpya ya uchaguzi na tume inakuja mambo si ndo hayo sasa mnataka nn tena...
Aliyesema upinzani ni watoa taarifa, analalama mnataka kumwekea Sumu.

Ndomana nawaambia mwisho wenu umefika.
 
Hii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa na Chama hicho leo kwa watu wote Duniani, kwamba Mkutano huo utafanyika kwenye ofisi za kisasa za chama hicho zilizopo Nyegezi.

Bila shaka Ratiba ya Maandamano na njia za kupita Jijini Mwanza vitatolewa

View attachment 2896916
Hatutafanya kazi kujiletea maendeleo bali tutakalia kufanya maandamano kweli, familia zitakula maandamano kweli. Inasemekana wengine wanalipwa.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Ninaijua CHADEMA kuliko unavyoijua wewe wa huko Maporini. Nimekulia jirani kabisa na anapoishi Mbowe. Baba yangu mkubwa alikuwa kada mkubwa wa CHADEMA enzi za uhai wake na hata siku ya mazishi yake jeneza lake lilifunikwa na bendera ya CHADEMA. Baada ya kujifunza mambo mengi kuhusu CHADEMA na CCM ndo nikaona CCM wana sera nzuri na ninaridhishwa na siasa zake za kidemokrasia. Nimejifunza haya mambo kwa watu sahihi na sio nyie hoyahoya.
Umeandika kimasikini mno !
 
Back
Top Bottom