Dialysis
JF-Expert Member
- Sep 22, 2021
- 325
- 677
Erythrocyte tunaomba feedback!Wako live??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upuuzi mtupu.Andika vizuri !!Ukinyimwa 7000/- utakula wapi wewe maskini
Kwa magonjwa mtambuka sio.Hamchoki tu?
Upuuzi mtupu.Kwa magonjwa mtambuka sio.
Upuuzi Gani mtambuka?Upuuzi mtupu.
Upuuzi mtupu.Upuuzi Gani mtambuka?
Kwani kuna upuuzi usio Vaa nguo?Upuuzi mtupu.
Umeandika nini? mbona hueleweki!Bora siasa uchwara nazichukua
Huyo bila shaka atakuwa ni mtu😆Umeandika nini? mbona hueleweki!
Upuuzi mtupu.Kwani kuna upuuzi usio Vaa nguo?
Roho inakuuma nini wewe Boya wakati Chadema imeshakufa? Nendeni mkamsaidie huyo mama kazi iendelee kuleta umaskini TanzaniaUpuuzi mtupu.
Great!!!Taarifa yao iliyosambazwa hii hapa
=============================================
"Ili [CHADEMA] tuweze kushiriki kikao chochote cha Msajili [wa Vyama vya Siasa] lazima zuio la vyama kufanya mikutano ya hadhara liondolewe, ili tukienda kwenye vikao, twende kama vyama huru, tusiende kama vyama vinavyotoka mahabusu." - Naibu Katibu Mkuu CHADEMA, Benson Kigaila.
"Kikao cha Msajili cha Oct 21-22, 2021 kinaitwa kikao cha Wadau cha kujadili changamoto za utekelezaji wa sheria ya Vyama vya Siasa, hakuna Chama kilichompelekea Msajili changamoto ya utekelezaji wa sheria hiyo licha ya sheria hiyo kuvunjwa kwa miaka 6 iliyopita"
"Hatuwezi kukutana na wadau chini ya msajili kujadili changamoto ya kutekeleza hiyo sheria. Hatutaki kualikwa kwenda kujadili namna ya kuvunja sheria. Sisi kama chama cha siasa [CHADEMA] tumesajiliwa na tumejifunza kufuata sheria na tunaamini utawala wa sheria."- Benson Kigaila
"Sisi kama Chadema hatuwezi kwenda kwenye vikao vya Msajili mpaka mwenyekiti wetu freeman mbowe aachiwe bila masharti yoyote kwa sababu Watanzania wanajua, Serikali inajua na Dunia inajua kwamba Mbowe Sio Gaidi. Mbowe amebambikizwa kesi ili kumtesa."
"Moja ya kazi kubwa ya chama cha siasa ni kuwasemea watu ambao hawana majukwaa ya kusemea mfano ni machinga na wengine, unapozuia mikutano ya vyama vya siasa maana yake umezua majukwaa ya Watu hao wasiseme na wasiwe na sauti za kusema"
"Baada ya kusikia kilio cha Wananchi kuhusu katiba mpya, tulimwandikia Rais Mstaafu Kikwete barua ya hitaji hilo akakubali kukutana nasi, tukashauriana na mchakato uliishia ulipoishia, alipoingia Rais Magufuli tuliandika barua nne na zote hazikujibiwa"
"Mwezi April Mwenyekiti Freeman Mbowe alimuandikia barua Rais Samia ya kuhitaji kukutana naye, Rais Samia amekutana na makundi mbalimbali ila kundi la Wanasiasa bado, tuna imani ya kukutana naye tumweleze mambo yanayosababisha ufa kwenye Taifa hili"
"Nia na lengo letu la kuonana na Rais Samia sio kwenda kumueleza mambo yetu binafsi, bali mambo mbalimbali ya kuendesha Nchi yetu vizuri, na tuko tayari kwa mazungumzo na Rais, lakini hatuko tayari kukutana na Msajili"
MaCCM yanaishi kwa mazoea sana , yataelewa tu kuwa CHADEMA hatutanii.."Hatuwezi kukutana na wadau chini ya msajili kujadili changamoto ya kutekeleza hiyo sheria. Hatutaki kualikwa kwenda kujadili namna ya kuvunja sheria. Sisi kama chama cha siasa [CHADEMA] tumesajiliwa na tumejifunza kufuata sheria na tunaamini utawala wa sheria."- Benson Kigaila
MaCCM yanatutesa sana CHADEMA. Magufuli alituua, alitupiga risasi , alituteka na kutufunga kinyume na sheria za nchi.Sisi kama Chadema hatuwezi kwenda kwenye vikao vya Msajili mpaka mwenyekiti wetu freeman mbowe aachiwe bila masharti yoyote kwa sababu Watanzania wanajua, Serikali inajua na Dunia inajua kwamba Mbowe Sio Gaidi. Mbowe amebambikizwa kesi ili kumtesa."
Kwa andilo hili pia utalipwa ?Kwa kuwa CHADEMA kila siku huita waandishi wa habari kuongea naomba jina la CHADEMA libadilishwe liwe CHADOMA
Yaana kirefu CHAMA CHA DOMOKAYA NA MANENO (CHADOMA)
Msajili kuna ujumbe wako hapa, acha kutuzoea zoea CHADEMA. Fanya kazi kwa mujibu wa sheria, uwezi, pita hivi yaani."Nia na lengo letu la kuonana na Rais Samia sio kwenda kumueleza mambo yetu binafsi, bali mambo mbalimbali ya kuendesha Nchi yetu vizuri, na tuko tayari kwa mazungumzo na Rais, lakini hatuko tayari kukutana na Msajili