CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

Very Poor !
 
Nia na lengo letu la kuonana na Rais Samia sio kwenda kumueleza mambo yetu binafsi, bali mambo mbalimbali ya kuendesha Nchi yetu vizuri, na tuko tayari kwa mazungumzo na Rais, lakini hatuko tayari kukutana na Msajili"

Mungu ibariki CHADEMA! na watu wake wote!
 
Hiyo ndio habari kubwa , bahati mbaya kuna vijana duni sana wanaochangia uzi huu wanajaribu kuvuruga bila mafanikio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…