M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
OkaySio tu CHADEMA. Nadhani hakuna wapinzani serious kwa sasa wanaotaka kupambana kiukweli na CCM.
Upe muda wakatiHiki Chama wamelenga kushika dola? Lini? Kwa mikakati ipi?
Upe mudaHiki Chama wamelenga kushika dola? Lini? Kwa mikakati ipi?
Jeshi la Wananchi lilinde mipaka, Polisi walinde raia na mali zao, Magereza walinde wafungwa, uhamiaji wahakikishe viongozi wetu ni raia, kila chombo kifuate majukumu ya kuanzishwa kwake kwa mujibu wa Katiba.Bila ridhaa ya Vyombo vya Ulinzi na Usalama wa Chama pendwa watashikaje dola?
Haiwezekani nchi yetu tuwape wahuniHiki Chama wamelenga kushika dola? Lini? Kwa mikakati ipi?
Wewe uko chama gani?Sio tu CHADEMA. Nadhani hakuna wapinzani serious kwa sasa wanaotaka kupambana kiukweli na CCM.