BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Tunategemea tarehe 23 Januari 2024 Jeshi likafanye usafi katika maeneo hayo tutakayoandamana tarehe 24 Januari 2024, na sisi tutashirikiana nao kwa kuwapa ushirikiano, tutawaambia wanachama wetu wakalisaidie Jeshi kufanya usafi ili tukaandamane katika barabara na njia iliyosafi.
John Mrema
Mkurugenzi wa Itikadi, Chadema