Pre GE2025 CHADEMA kushirikiana na Wanajeshi kufanya usafi Januari 24, 2024

Pre GE2025 CHADEMA kushirikiana na Wanajeshi kufanya usafi Januari 24, 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
20240116_133940.jpg

Tunategemea tarehe 23 Januari 2024 Jeshi likafanye usafi katika maeneo hayo tutakayoandamana tarehe 24 Januari 2024, na sisi tutashirikiana nao kwa kuwapa ushirikiano, tutawaambia wanachama wetu wakalisaidie Jeshi kufanya usafi ili tukaandamane katika barabara na njia iliyosafi.

John Mrema
Mkurugenzi wa Itikadi, Chadema
 
View attachment 2873456
TANZANIA: CHADEMA KUSHIRIKIANA NA JESHI KUFANYA USAFI ILI JAN 24 WAANDAMANE SEHEMU SAFI

"Tunategemea tarehe 23 Januari 2024 Jeshi likafanye usafi katika maeneo hayo tutakayoandamana tarehe 24 Januari 2024, na sisi tutashirikiana nao kwa kuwapa ushirikiano, tutawaambia wanachama wetu wakalisaidie Jeshi kufanya usafi ili tukaandamane katika barabara na njia iliyosafi." - @JonMrema, Mkurugenzi wa Itikadi @ChademaTz.
Safii
 
Bora muwe mnatoa elimu ya sera yenu ili watu wafahamu wakiwaamini kuwapa madaraka. nini ni kipaumbele na lipi lengo na njia ipi kufikia lengo
Hayo ystasaidia kuliko haya mengine ya kuzingushana kama paka na panya.
 
View attachment 2873456
TANZANIA: CHADEMA KUSHIRIKIANA NA JESHI KUFANYA USAFI ILI JAN 24 WAANDAMANE SEHEMU SAFI

"Tunategemea tarehe 23 Januari 2024 Jeshi likafanye usafi katika maeneo hayo tutakayoandamana tarehe 24 Januari 2024, na sisi tutashirikiana nao kwa kuwapa ushirikiano, tutawaambia wanachama wetu wakalisaidie Jeshi kufanya usafi ili tukaandamane katika barabara na njia iliyosafi." - @JonMrema, Mkurugenzi wa Itikadi @ChademaTz.
Wakijifanya wanajua Huku, na sisi tunajua kule!
 
Bora muwe mnatoa elimu ya sera yenu ili watu wafahamu wakiwaamini kuwapa madaraka. nini ni kipaumbele na lipi lengo na njia ipi kufikia lengo
Hayo ystasaidia kuliko haya mengine ya kuzingushana kama paka na panya.
Strategists wa Chadema aliondoka na viatu vyake. Lengo, end i-justify means!!!
 
Akili ndogo MIDOMO WAZI...

Siasa ni Sayansi.....

Hii inatwa Kingi ...Chama AKILI KUBWA.....
 
Mrema aangalie propaganda zake zisikitoe chama kwenye reli - Focus ni maandamano.
 
View attachment 2873456
TANZANIA: CHADEMA KUSHIRIKIANA NA JESHI KUFANYA USAFI ILI JAN 24 WAANDAMANE SEHEMU SAFI

"Tunategemea tarehe 23 Januari 2024 Jeshi likafanye usafi katika maeneo hayo tutakayoandamana tarehe 24 Januari 2024, na sisi tutashirikiana nao kwa kuwapa ushirikiano, tutawaambia wanachama wetu wakalisaidie Jeshi kufanya usafi ili tukaandamane katika barabara na njia iliyosafi." - @JonMrema, Mkurugenzi wa Itikadi @ChademaTz.
Kiukweli kabisa lQ za hawa jamaa bora nyumbu
 
Akili ndogo MIDOMO WAZI...

Siasa ni Sayansi.....

Hii inatwa Kingi ...Chama AKILI KUBWA.....
Sasa hapo akili gani? Wenzako wanafanya usafi tarehe 23-24, wew unataka kuandamana tarehe 24 wakati wenzako wanafanya usafi unadhani utaweza? Hio ni propaganda ila haitaisaidia
 
Bora muwe mnatoa elimu ya sera yenu ili watu wafahamu wakiwaamini kuwapa madaraka. nini ni kipaumbele na lipi lengo na njia ipi kufikia lengo
Hayo ystasaidia kuliko haya mengine ya kuzingushana kama paka na panya.
Sera ya chama hutolewa wakati gani bandugu? Unajua kwann wanaandamana? Unajua hicho wanachoandamania ndiyo kitawapeleka ikulu.
Soma na sikiliza kwanza kabla hujaandika kuuficha ujinga mkiu
 
Sasa hapo akili gani? Wenzako wanafanya usafi tarehe 23-24, wew unataka kuandamana tarehe 24 wakati wenzako wanafanya usafi unadhani utaweza? Hio ni propaganda ila haitaisaidia
Unafanya usafi tarehe 24. Wakati watu wanakufa kwa kipindupindu huko simiyu leo? Ulisoma shule gani
 
View attachment 2873456
TANZANIA: CHADEMA KUSHIRIKIANA NA JESHI KUFANYA USAFI ILI JAN 24 WAANDAMANE SEHEMU SAFI

"Tunategemea tarehe 23 Januari 2024 Jeshi likafanye usafi katika maeneo hayo tutakayoandamana tarehe 24 Januari 2024, na sisi tutashirikiana nao kwa kuwapa ushirikiano, tutawaambia wanachama wetu wakalisaidie Jeshi kufanya usafi ili tukaandamane katika barabara na njia iliyosafi." - @JonMrema, Mkurugenzi wa Itikadi @ChademaTz.
hiyo nakubali nakuunga mkono kabisa na kwakweli nimeifurahia sana panyarodi kujitokeza kwa wingi kushiriki usafi, hii ndio raha ya kubadili gia angani 😀
 
Back
Top Bottom