SafiiView attachment 2873456
TANZANIA: CHADEMA KUSHIRIKIANA NA JESHI KUFANYA USAFI ILI JAN 24 WAANDAMANE SEHEMU SAFI
"Tunategemea tarehe 23 Januari 2024 Jeshi likafanye usafi katika maeneo hayo tutakayoandamana tarehe 24 Januari 2024, na sisi tutashirikiana nao kwa kuwapa ushirikiano, tutawaambia wanachama wetu wakalisaidie Jeshi kufanya usafi ili tukaandamane katika barabara na njia iliyosafi." - @JonMrema, Mkurugenzi wa Itikadi @ChademaTz.
Wakijifanya wanajua Huku, na sisi tunajua kule!View attachment 2873456
TANZANIA: CHADEMA KUSHIRIKIANA NA JESHI KUFANYA USAFI ILI JAN 24 WAANDAMANE SEHEMU SAFI
"Tunategemea tarehe 23 Januari 2024 Jeshi likafanye usafi katika maeneo hayo tutakayoandamana tarehe 24 Januari 2024, na sisi tutashirikiana nao kwa kuwapa ushirikiano, tutawaambia wanachama wetu wakalisaidie Jeshi kufanya usafi ili tukaandamane katika barabara na njia iliyosafi." - @JonMrema, Mkurugenzi wa Itikadi @ChademaTz.
Strategists wa Chadema aliondoka na viatu vyake. Lengo, end i-justify means!!!Bora muwe mnatoa elimu ya sera yenu ili watu wafahamu wakiwaamini kuwapa madaraka. nini ni kipaumbele na lipi lengo na njia ipi kufikia lengo
Hayo ystasaidia kuliko haya mengine ya kuzingushana kama paka na panya.
Kalamila kijasho chembamba....Wakijifanya wanajua Huku, na sisi tunajua kule!
Kwahiyo ndo Kambi za CHADEMAKwanini msingeandamana Musoma au mbeya?
Kiukweli kabisa lQ za hawa jamaa bora nyumbuView attachment 2873456
TANZANIA: CHADEMA KUSHIRIKIANA NA JESHI KUFANYA USAFI ILI JAN 24 WAANDAMANE SEHEMU SAFI
"Tunategemea tarehe 23 Januari 2024 Jeshi likafanye usafi katika maeneo hayo tutakayoandamana tarehe 24 Januari 2024, na sisi tutashirikiana nao kwa kuwapa ushirikiano, tutawaambia wanachama wetu wakalisaidie Jeshi kufanya usafi ili tukaandamane katika barabara na njia iliyosafi." - @JonMrema, Mkurugenzi wa Itikadi @ChademaTz.
Sasa hapo akili gani? Wenzako wanafanya usafi tarehe 23-24, wew unataka kuandamana tarehe 24 wakati wenzako wanafanya usafi unadhani utaweza? Hio ni propaganda ila haitaisaidiaAkili ndogo MIDOMO WAZI...
Siasa ni Sayansi.....
Hii inatwa Kingi ...Chama AKILI KUBWA.....
Sera ya chama hutolewa wakati gani bandugu? Unajua kwann wanaandamana? Unajua hicho wanachoandamania ndiyo kitawapeleka ikulu.Bora muwe mnatoa elimu ya sera yenu ili watu wafahamu wakiwaamini kuwapa madaraka. nini ni kipaumbele na lipi lengo na njia ipi kufikia lengo
Hayo ystasaidia kuliko haya mengine ya kuzingushana kama paka na panya.
Unafanya usafi tarehe 24. Wakati watu wanakufa kwa kipindupindu huko simiyu leo? Ulisoma shule ganiSasa hapo akili gani? Wenzako wanafanya usafi tarehe 23-24, wew unataka kuandamana tarehe 24 wakati wenzako wanafanya usafi unadhani utaweza? Hio ni propaganda ila haitaisaidia
Unafanya usafi tarehe 24. Wakati watu wanakufa kwa kipindupindu huko simiyu leo? Ulisoma shule gani
hiyo nakubali nakuunga mkono kabisa na kwakweli nimeifurahia sana panyarodi kujitokeza kwa wingi kushiriki usafi, hii ndio raha ya kubadili gia angani 😀View attachment 2873456
TANZANIA: CHADEMA KUSHIRIKIANA NA JESHI KUFANYA USAFI ILI JAN 24 WAANDAMANE SEHEMU SAFI
"Tunategemea tarehe 23 Januari 2024 Jeshi likafanye usafi katika maeneo hayo tutakayoandamana tarehe 24 Januari 2024, na sisi tutashirikiana nao kwa kuwapa ushirikiano, tutawaambia wanachama wetu wakalisaidie Jeshi kufanya usafi ili tukaandamane katika barabara na njia iliyosafi." - @JonMrema, Mkurugenzi wa Itikadi @ChademaTz.