The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Kwani sasa hivi hawako serikali ccm imetetereka?Bila upinzani imara, hakuna CCM Imara!. We need them!.
P
Wataendelea kukosoa mitandaoni, Twitter na huko space inatosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani sasa hivi hawako serikali ccm imetetereka?Bila upinzani imara, hakuna CCM Imara!. We need them!.
P
Wastaarabu huwa hawatukani!.Chadema ni wspumbavu sana
Lazima apitie hapa na kushusha like🚶Wewe ndugu yangu,inaonekana una uhusiano mzuri na Covid19,na Mdee sasa hivi amepata cheo LAA(kama sijakosea),hebu mshirikishe akupe maarifa aliyotumia,yeye na wenzake,hadi wakaingia bungeni.Hiyo mbinu,inaweza kukufanya ukaiwakilisha CHADEMA,kwenye nafasi za EALA,CHADEMA wakija kushtuka,ushakua mbunge na kesi inaenda mahakamani,tena wewe najua ni wakili msomi,umeiva kwenye legal practice,utawashinda tu,au utatumia mbinu ya kuchelewesha maamuzi,usifanye kama Kenya wanavyoharakisha kutoa hukumu.
Wanabodi,
Baada ya kunikuta kilichonikuta kwenye EALA, naendelea kuomba sana Mungu anifundishe kunyamaza, ila kwa vile maisha yangu yote ya miaka 30 kwenye media, kazi yangu ni kuuliza tu maswali, hivyo kila nikutana na jambo ambalo kwangu naliona haliendi sawa, napatwa a burning desire to ask questions,, hivyo wakati nikiendelea sana kumuomba Mungu anifundishe kunyamaza, siwezi kunyamaza ghafla, hivyo naendelea kuuliza maswali mdogo mdogo na siku hizi siulizi maswali magumu kwa viongozi, nauliza tuu maswali rahisi rahisi humu jf tuu na sio tena kwa viongozi!. Hapa ninauliza swali, kitendo cha CHADEMA, kususia kuteua mbunge wa EALA ni strength or selfishness?
Tuanze na somo la kujifunza kuhusu vyama vya upinzani Tanzania Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane!
Kisha tujifunze jee kazi ya Upinzani ni nini?. Japo Kazi ya Upinzani ni Kupinga, Lakini Sio Kupinga Kila Kitu, Kwenye Maslahi Ya Taifa, Tutangulize Utaifa, Tuwe Wamoja, Wakweli na Tusipotoshe.
Hivyo kunapotokea mgongano wa kimaslahi kati ya maslahi ya chama na maslahi ya taifa, chama makini, kitaachana na kuweka mbele maslahi ya chama, na kutanguliza mbele maslahi ya taifa, hapa nawaomba Chadema kwa kuwashauri tangulizeni mbele maslahi ya Taifa, p'se tuteulieni jembe Upendo Furaha Peneza, akatuwakilishe EALA, huyu binti, atatusaidia sana!.
Nilipania sana kwenda EALA, ila ikatokea bahati nzuri kwenye chama changu CCM, tuna majembe ya kutosha hivyo mimi kuzidiwa sifa na majembe kazi as a result sikufanikiwa kupata uteuzi wa chama changu.
EALA iliyopita CHADEMA ilikuwa na wabunge wawili, lakini kutokana na CHADEMA kudai haiyatambui matokeo ya uchaguzi wa 2020 wanaouita uchafuzi, hivyo walipopatiwa nafasi 19 za wabunge wa viti maalum, wakagoma kuteua. Ila kukatokea wazalendo waliotanguliza mbele maslahi ya taifa, wakafanya maarifa nje ya utaratibu rasmi wa chama, wakapeleka majina NEC, NEC ikawapa uteuzi na kumkabidhi Spika, wakaapishwa na kuwa wabunge halali.
Sasa kumejitokea fursa nyingine ya CHADEMA kupeleka mtu EALA, kati ya vyama vyote vitatu vya upinzani vilivyo na wabunge ndani ya Bunge la JMT, ni CHADEMA pekee ndio yenye fursa ya kuteua mgombea atakayechaguliwa straight forward kama Mbunge wa Upinzani. Chadema isipoteua then fursa hiyo inakwenda ACT na CUF. Vyama hivyo tayari vimeteua wanaume wakati kanuni inataka mwanaume na mwanamke.
Kwa vile CHADEMA bado wana mgogoro na kina Mdee, hivyo wamesusa tena. Mwisho wa siku huu mgogoro wao na kina Mdee, utamalizika, na CHADEMA itawateua wabunge wake rasmi, muda huo utakapo wadia, fursa ya EALA itakuwa imeisha pita, and there is no going back.
Kufuatia ndugu zangu wa CHADEMA, kuunga mkono my bid kwenye EALA na wengine hadi kunichangia, kwa muktadha huu, nawashauri CHADEMA waache selfishness yao ya kususia mambo yenye maslahi mapana zaidi kitaifa kuliko maslahi ya chama.
Ukiondoa hao mashujaa 19 wa CHADEMA waliopo bungeni sasa, bado kuna shujaa mmoja ambaye ni malkia Mzinga Mbandu wa Chadema, Upendo, Furaha Peneza, ataweza kutusaidia sana kwenye EALA.
Kwa msiomjua Peneza ni huyu hapa
Ref: Mnaweza kumsoma Upendo Furaha Peneza humu
- Upendo Furaha Peneza (@UpendoPeneza) | Twitte
- Upendo Furaha Peneza: Gold in the rough. Vijana CHADEMA mpo?
- Upendo Peneza ni malkia Nzinga Mbandi wa BAVICHA
- Upendo Peneza: Nahitaji kushinda na nitashinda
- Upendo Peneza leo Bungeni; Huyu Dada ana uwezo mkubwa sana
- Upendo Peneza wa CHADEMA atoboa siri ya CHADEMA na Sabodo
- Mungu amenipa nafasi nyingine ya kumtumikia na kutumikia watu wake. Praise be to God!
- Upendo Peneza kapata ajali Geita akitokea kwenye Mikutano ya Kampeni (05 Dec 2014)
- Upendo Peneza ataja sifa za mwanaume wa kumuoa
- Upendo Peneza (CHADEMA) awalaumu Wabunge wanaohama vyama. Asema chaguzi za marudio ni kucheza pesa za wananchi!
- Mheshimiwa Upendo Peneza asisitiza amani akiwa ziarani na Waziri Mkuu
- Mbunge Upendo Peneza(CHADEMA) akamatwa Geita mjini, aachiwa kwa dhamana
- Je, Rais wetu, Magufuli anasoma JF? Rais, Please msikilize Binti huyu, ana hoja ya Msingi!
Mnaonaje hili ndugu zangu wa Chadema?.
Paskali
Maadam bado niko hai, kuzunguka dunia bado kunaendelea tena enzi hizo nilikuwa natumia economy class, lakini sasa kufuatia ile ajali na status ya mkono wangu, sasa natumia business class!Kuzunguka dunia,
Japo zimepururuka sasa ni 00.0 ila hii ya kupata na kukosa ni mipango tuu ya Mungu, kupitia uwakili unaweza kufuma deal moja tuu kubwa ya kugonga tuu muhuri na account ikasoma tena B!.kumiliki B Kwa account,
Kiukweli hakuna mkamilifu tena she was very lucky nilipokataliwa ndio nikamlipua!, kuna wengine they were not so lucky, nilikuwa nikiona na moyo kutaka, naita mahali na kujichukulia tuu kama yangu!. Kiukweli haya ninayopitia sasa kufidia matendo yangu ya yuma, acha tuu niendelee kulipa, deni likiisha narudi tena juu being great again ila this time nikiwa mtu mwema!.ku black mail watu,
Hii ni fidia ya accumulation ya karma, kikombe hiki nimekipokea na shukrani nimetoa Waraka wa Pascal Mayalla - Asanteni Sana!kupata ajali,
Its true ni pigo kubwa sana in life, ila pia kuna mapigo mengine na mapito mengine ni blessing in disguise!. She is now a US subject, na ikitokea unanijua in realty, siku ukiniona na drive a Mercedes Benz S-Class ya 0km in Dar streets, usidhani ni pesa ya PPR!.kukimbiwa na mke,
Interview sikufeli, bali nilizidiwa sifa na vigezo na watu wazuri zaidi kuliko mimi EALA: Waliopitishwa CCM, ni Kwa Haki!, Tulioachwa ni kwa Haki, Tumezidiwa Vigezo!. Thanks4 for Support, Nimekubali Matokeo Kiroho Safi! Kazi Iendelee!kufail interview,
He who laugh last, laugh most!. He who lives last lives most!. Kati ya mtamka na mtamkiwa, nani yupo?.kuambiwa maana yko ni njaa.
Not, its not the case!. Hivi hivi nilivyo, nikitangaza tuu natafuta... ni foleni mpaka feri!.yaan bado Tu haoni kua hahitajik na yeyote popote !!!!!
Ila pia kiukweli hili la EALA nilitumia all my powers from within to make it happen, nika consolidates na powers kutoka kwa wana jf, lakini bado it didn't happen!. Huwezi jua Mungu anakuepusha na nini!. Tumefunzwa kushukuru kwa yote hivyo na mimi nashukuru kwa yote, kitu muhimu ni kutenda mema, sasa mimi ni mtu mwema zaidi kwa nchi yangu, chama changu, familia yangu na kwangu mimi mwenyewe!.Puuuuh
Asante, sasa naheshimu maamuzi.Heshimu maamuzi ya chadema Kama ulivyoheshimu maamuzi ya CCM kawe kukupa kura moja na juzi CCM taifa kukuona haufai kwenda EALA.
Sikalazimisha opinion yangu kuwa ndio sahihi wala sijasema wengine hawafai, mimi nimeshauri tuu, na kutoa sababu za ushauri wangu.Usilazimishe opinion yako kuwa sahihi na kuona wengine hawafai.
Yes hawa ni mashujaa, once shujaa, always shujaa! Makamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tuUnasema mashujaa
Kwa vile chama kinaongozwa na binadamu, hao binadamu wanaweza kufanya mistakes, hivyo viongozi wakifanya mistakes, wanao ona ni kosa, they did the right thingwametafuta mchakato nje ya chama wakaenda bungeni, je nini maana ya kuwa na chama?. Kama chama kipo kwanini uyumie njia haramu.
Sawa!.Chadema iwaachie cuf na ACT waende kwenye hiyo nafasi moja.
KWANI CHADEMA NI KITU GANI UNAIZUNGUKIA HIVI? INAKUHUSU? WAACHE WAFANYE WANAYOONA YATAWAPELEKA WANAKOTAKA ILI MRADI YASITUSABABISHIE MATATIZO. NYIE ENDELEENI NANYI KUFANYAVIVYO HIVYO. MBONA TOZO HUJALIZUNGUMZIA UNAZUNGUMZA HILI LA EALA AMBALO SILIONI KAMA KITU. MBONA UAMUZI WAKE WA MGOMBEA BINAFSI HAUJATEKELEZWA NA SERIKALI? HAINA MENOWanabodi,
Baada ya kunikuta kilichonikuta kwenye EALA, naendelea kuomba sana Mungu anifundishe kunyamaza, ila kwa vile maisha yangu yote ya miaka 30 kwenye media, kazi yangu ni kuuliza tu maswali, hivyo kila nikutana na jambo ambalo kwangu naliona haliendi sawa, napatwa a burning desire to ask questions,, hivyo wakati nikiendelea sana kumuomba Mungu anifundishe kunyamaza, siwezi kunyamaza ghafla, hivyo naendelea kuuliza maswali mdogo mdogo na siku hizi siulizi maswali magumu kwa viongozi, nauliza tuu maswali rahisi rahisi humu jf tuu na sio tena kwa viongozi!. Hapa ninauliza swali, kitendo cha CHADEMA, kususia kuteua mbunge wa EALA ni strength or selfishness?
Tuanze na somo la kujifunza kuhusu vyama vya upinzani Tanzania Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane!
Kisha tujifunze jee kazi ya Upinzani ni nini?. Japo Kazi ya Upinzani ni Kupinga, Lakini Sio Kupinga Kila Kitu, Kwenye Maslahi Ya Taifa, Tutangulize Utaifa, Tuwe Wamoja, Wakweli na Tusipotoshe.
Hivyo kunapotokea mgongano wa kimaslahi kati ya maslahi ya chama na maslahi ya taifa, chama makini, kitaachana na kuweka mbele maslahi ya chama, na kutanguliza mbele maslahi ya taifa, hapa nawaomba Chadema kwa kuwashauri tangulizeni mbele maslahi ya Taifa, p'se tuteulieni jembe Upendo Furaha Peneza, akatuwakilishe EALA, huyu binti, atatusaidia sana!.
Nilipania sana kwenda EALA, ila ikatokea bahati nzuri kwenye chama changu CCM, tuna majembe ya kutosha hivyo mimi kuzidiwa sifa na majembe kazi as a result sikufanikiwa kupata uteuzi wa chama changu.
EALA iliyopita CHADEMA ilikuwa na wabunge wawili, lakini kutokana na CHADEMA kudai haiyatambui matokeo ya uchaguzi wa 2020 wanaouita uchafuzi, hivyo walipopatiwa nafasi 19 za wabunge wa viti maalum, wakagoma kuteua. Ila kukatokea wazalendo waliotanguliza mbele maslahi ya taifa, wakafanya maarifa nje ya utaratibu rasmi wa chama, wakapeleka majina NEC, NEC ikawapa uteuzi na kumkabidhi Spika, wakaapishwa na kuwa wabunge halali.
Sasa kumejitokea fursa nyingine ya CHADEMA kupeleka mtu EALA, kati ya vyama vyote vitatu vya upinzani vilivyo na wabunge ndani ya Bunge la JMT, ni CHADEMA pekee ndio yenye fursa ya kuteua mgombea atakayechaguliwa straight forward kama Mbunge wa Upinzani. Chadema isipoteua then fursa hiyo inakwenda ACT na CUF. Vyama hivyo tayari vimeteua wanaume wakati kanuni inataka mwanaume na mwanamke.
Kwa vile CHADEMA bado wana mgogoro na kina Mdee, hivyo wamesusa tena. Mwisho wa siku huu mgogoro wao na kina Mdee, utamalizika, na CHADEMA itawateua wabunge wake rasmi, muda huo utakapo wadia, fursa ya EALA itakuwa imeisha pita, and there is no going back.
Kufuatia ndugu zangu wa CHADEMA, kuunga mkono my bid kwenye EALA na wengine hadi kunichangia, kwa muktadha huu, nawashauri CHADEMA waache selfishness yao ya kususia mambo yenye maslahi mapana zaidi kitaifa kuliko maslahi ya chama.
Ukiondoa hao mashujaa 19 wa CHADEMA waliopo bungeni sasa, bado kuna shujaa mmoja ambaye ni malkia Mzinga Mbandu wa Chadema, Upendo, Furaha Peneza, ataweza kutusaidia sana kwenye EALA.
Kwa msiomjua Peneza ni huyu hapa
Ref: Mnaweza kumsoma Upendo Furaha Peneza humu
- Upendo Furaha Peneza (@UpendoPeneza) | Twitte
- Upendo Furaha Peneza: Gold in the rough. Vijana CHADEMA mpo?
- Upendo Peneza ni malkia Nzinga Mbandi wa BAVICHA
- Upendo Peneza: Nahitaji kushinda na nitashinda
- Upendo Peneza leo Bungeni; Huyu Dada ana uwezo mkubwa sana
- Upendo Peneza wa CHADEMA atoboa siri ya CHADEMA na Sabodo
- Mungu amenipa nafasi nyingine ya kumtumikia na kutumikia watu wake. Praise be to God!
- Upendo Peneza kapata ajali Geita akitokea kwenye Mikutano ya Kampeni (05 Dec 2014)
- Upendo Peneza ataja sifa za mwanaume wa kumuoa
- Upendo Peneza (CHADEMA) awalaumu Wabunge wanaohama vyama. Asema chaguzi za marudio ni kucheza pesa za wananchi!
- Mheshimiwa Upendo Peneza asisitiza amani akiwa ziarani na Waziri Mkuu
- Mbunge Upendo Peneza(CHADEMA) akamatwa Geita mjini, aachiwa kwa dhamana
- Je, Rais wetu, Magufuli anasoma JF? Rais, Please msikilize Binti huyu, ana hoja ya Msingi!
Mnaonaje hili ndugu zangu wa Chadema?.
Paskali
CCM ni mataahira kabisaChadema ni wspumbavu sana
Paskali punguza kujikubali haiwezekani kila ukitia mguu wewe tu ndio unashindwa, jitathmini unakwama wapi. Ebu shinda hata chaguzi moja kwanza usitegemee mbeleke weka mikakati kabambe ya kushinda na shindana kweli na Chadema kususa sio selfish ndio hatua sahihi kuchukua sasa.Wanabodi,
Baada ya kunikuta kilichonikuta kwenye EALA, naendelea kuomba sana Mungu anifundishe kunyamaza, ila kwa vile maisha yangu yote ya miaka 30 kwenye media, kazi yangu ni kuuliza tu maswali, hivyo kila nikutana na jambo ambalo kwangu naliona haliendi sawa, napatwa a burning desire to ask questions,, hivyo wakati nikiendelea sana kumuomba Mungu anifundishe kunyamaza, siwezi kunyamaza ghafla, hivyo naendelea kuuliza maswali mdogo mdogo na siku hizi siulizi maswali magumu kwa viongozi, nauliza tuu maswali rahisi rahisi humu jf tuu na sio tena kwa viongozi!. Hapa ninauliza swali, kitendo cha CHADEMA, kususia kuteua mbunge wa EALA ni strength or selfishness?
Tuanze na somo la kujifunza kuhusu vyama vya upinzani Tanzania Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane!
Kisha tujifunze jee kazi ya Upinzani ni nini?. Japo Kazi ya Upinzani ni Kupinga, Lakini Sio Kupinga Kila Kitu, Kwenye Maslahi Ya Taifa, Tutangulize Utaifa, Tuwe Wamoja, Wakweli na Tusipotoshe.
Hivyo kunapotokea mgongano wa kimaslahi kati ya maslahi ya chama na maslahi ya taifa, chama makini, kitaachana na kuweka mbele maslahi ya chama, na kutanguliza mbele maslahi ya taifa, hapa nawaomba Chadema kwa kuwashauri tangulizeni mbele maslahi ya Taifa, p'se tuteulieni jembe Upendo Furaha Peneza, akatuwakilishe EALA, huyu binti, atatusaidia sana!.
Nilipania sana kwenda EALA, ila ikatokea bahati nzuri kwenye chama changu CCM, tuna majembe ya kutosha hivyo mimi kuzidiwa sifa na majembe kazi as a result sikufanikiwa kupata uteuzi wa chama changu.
EALA iliyopita CHADEMA ilikuwa na wabunge wawili, lakini kutokana na CHADEMA kudai haiyatambui matokeo ya uchaguzi wa 2020 wanaouita uchafuzi, hivyo walipopatiwa nafasi 19 za wabunge wa viti maalum, wakagoma kuteua. Ila kukatokea wazalendo waliotanguliza mbele maslahi ya taifa, wakafanya maarifa nje ya utaratibu rasmi wa chama, wakapeleka majina NEC, NEC ikawapa uteuzi na kumkabidhi Spika, wakaapishwa na kuwa wabunge halali.
Sasa kumejitokea fursa nyingine ya CHADEMA kupeleka mtu EALA, kati ya vyama vyote vitatu vya upinzani vilivyo na wabunge ndani ya Bunge la JMT, ni CHADEMA pekee ndio yenye fursa ya kuteua mgombea atakayechaguliwa straight forward kama Mbunge wa Upinzani. Chadema isipoteua then fursa hiyo inakwenda ACT na CUF. Vyama hivyo tayari vimeteua wanaume wakati kanuni inataka mwanaume na mwanamke.
Kwa vile CHADEMA bado wana mgogoro na kina Mdee, hivyo wamesusa tena. Mwisho wa siku huu mgogoro wao na kina Mdee, utamalizika, na CHADEMA itawateua wabunge wake rasmi, muda huo utakapo wadia, fursa ya EALA itakuwa imeisha pita, and there is no going back.
Kufuatia ndugu zangu wa CHADEMA, kuunga mkono my bid kwenye EALA na wengine hadi kunichangia, kwa muktadha huu, nawashauri CHADEMA waache selfishness yao ya kususia mambo yenye maslahi mapana zaidi kitaifa kuliko maslahi ya chama.
Ukiondoa hao mashujaa 19 wa CHADEMA waliopo bungeni sasa, bado kuna shujaa mmoja ambaye ni malkia Mzinga Mbandu wa Chadema, Upendo, Furaha Peneza, ataweza kutusaidia sana kwenye EALA.
Kwa msiomjua Peneza ni huyu hapa
Ref: Mnaweza kumsoma Upendo Furaha Peneza humu
- Upendo Furaha Peneza (@UpendoPeneza) | Twitte
- Upendo Furaha Peneza: Gold in the rough. Vijana CHADEMA mpo?
- Upendo Peneza ni malkia Nzinga Mbandi wa BAVICHA
- Upendo Peneza: Nahitaji kushinda na nitashinda
- Upendo Peneza leo Bungeni; Huyu Dada ana uwezo mkubwa sana
- Upendo Peneza wa CHADEMA atoboa siri ya CHADEMA na Sabodo
- Mungu amenipa nafasi nyingine ya kumtumikia na kutumikia watu wake. Praise be to God!
- Upendo Peneza kapata ajali Geita akitokea kwenye Mikutano ya Kampeni (05 Dec 2014)
- Upendo Peneza ataja sifa za mwanaume wa kumuoa
- Upendo Peneza (CHADEMA) awalaumu Wabunge wanaohama vyama. Asema chaguzi za marudio ni kucheza pesa za wananchi!
- Mheshimiwa Upendo Peneza asisitiza amani akiwa ziarani na Waziri Mkuu
- Mbunge Upendo Peneza(CHADEMA) akamatwa Geita mjini, aachiwa kwa dhamana
- Je, Rais wetu, Magufuli anasoma JF? Rais, Please msikilize Binti huyu, ana hoja ya Msingi!
Mnaonaje hili ndugu zangu wa Chadema?.
Paskali
Wanabodi,
Baada ya kunikuta kilichonikuta kwenye EALA, naendelea kuomba sana Mungu anifundishe kunyamaza, ila kwa vile maisha yangu yote ya miaka 30 kwenye media, kazi yangu ni kuuliza tu maswali, hivyo kila nikutana na jambo ambalo kwangu naliona haliendi sawa, napatwa a burning desire to ask questions,, hivyo wakati nikiendelea sana kumuomba Mungu anifundishe kunyamaza, siwezi kunyamaza ghafla, hivyo naendelea kuuliza maswali mdogo mdogo na siku hizi siulizi maswali magumu kwa viongozi, nauliza tuu maswali rahisi rahisi humu jf tuu na sio tena kwa viongozi!. Hapa ninauliza swali, kitendo cha CHADEMA, kususia kuteua mbunge wa EALA ni strength or selfishness?
Tuanze na somo la kujifunza kuhusu vyama vya upinzani Tanzania Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane!
Kisha tujifunze jee kazi ya Upinzani ni nini?. Japo Kazi ya Upinzani ni Kupinga, Lakini Sio Kupinga Kila Kitu, Kwenye Maslahi Ya Taifa, Tutangulize Utaifa, Tuwe Wamoja, Wakweli na Tusipotoshe.
Hivyo kunapotokea mgongano wa kimaslahi kati ya maslahi ya chama na maslahi ya taifa, chama makini, kitaachana na kuweka mbele maslahi ya chama, na kutanguliza mbele maslahi ya taifa, hapa nawaomba Chadema kwa kuwashauri tangulizeni mbele maslahi ya Taifa, p'se tuteulieni jembe Upendo Furaha Peneza, akatuwakilishe EALA, huyu binti, atatusaidia sana!.
Nilipania sana kwenda EALA, ila ikatokea bahati nzuri kwenye chama changu CCM, tuna majembe ya kutosha hivyo mimi kuzidiwa sifa na majembe kazi as a result sikufanikiwa kupata uteuzi wa chama changu.
EALA iliyopita CHADEMA ilikuwa na wabunge wawili, lakini kutokana na CHADEMA kudai haiyatambui matokeo ya uchaguzi wa 2020 wanaouita uchafuzi, hivyo walipopatiwa nafasi 19 za wabunge wa viti maalum, wakagoma kuteua. Ila kukatokea wazalendo waliotanguliza mbele maslahi ya taifa, wakafanya maarifa nje ya utaratibu rasmi wa chama, wakapeleka majina NEC, NEC ikawapa uteuzi na kumkabidhi Spika, wakaapishwa na kuwa wabunge halali.
Sasa kumejitokea fursa nyingine ya CHADEMA kupeleka mtu EALA, kati ya vyama vyote vitatu vya upinzani vilivyo na wabunge ndani ya Bunge la JMT, ni CHADEMA pekee ndio yenye fursa ya kuteua mgombea atakayechaguliwa straight forward kama Mbunge wa Upinzani. Chadema isipoteua then fursa hiyo inakwenda ACT na CUF. Vyama hivyo tayari vimeteua wanaume wakati kanuni inataka mwanaume na mwanamke.
Kwa vile CHADEMA bado wana mgogoro na kina Mdee, hivyo wamesusa tena. Mwisho wa siku huu mgogoro wao na kina Mdee, utamalizika, na CHADEMA itawateua wabunge wake rasmi, muda huo utakapo wadia, fursa ya EALA itakuwa imeisha pita, and there is no going back.
Kufuatia ndugu zangu wa CHADEMA, kuunga mkono my bid kwenye EALA na wengine hadi kunichangia, kwa muktadha huu, nawashauri CHADEMA waache selfishness yao ya kususia mambo yenye maslahi mapana zaidi kitaifa kuliko maslahi ya chama.
Ukiondoa hao mashujaa 19 wa CHADEMA waliopo bungeni sasa, bado kuna shujaa mmoja ambaye ni malkia Mzinga Mbandu wa Chadema, Upendo, Furaha Peneza, ataweza kutusaidia sana kwenye EALA.
Kwa msiomjua Peneza ni huyu hapa
Ref: Mnaweza kumsoma Upendo Furaha Peneza humu
- Upendo Furaha Peneza (@UpendoPeneza) | Twitte
- Upendo Furaha Peneza: Gold in the rough. Vijana CHADEMA mpo?
- Upendo Peneza ni malkia Nzinga Mbandi wa BAVICHA
- Upendo Peneza: Nahitaji kushinda na nitashinda
- Upendo Peneza leo Bungeni; Huyu Dada ana uwezo mkubwa sana
- Upendo Peneza wa CHADEMA atoboa siri ya CHADEMA na Sabodo
- Mungu amenipa nafasi nyingine ya kumtumikia na kutumikia watu wake. Praise be to God!
- Upendo Peneza kapata ajali Geita akitokea kwenye Mikutano ya Kampeni (05 Dec 2014)
- Upendo Peneza ataja sifa za mwanaume wa kumuoa
- Upendo Peneza (CHADEMA) awalaumu Wabunge wanaohama vyama. Asema chaguzi za marudio ni kucheza pesa za wananchi!
- Mheshimiwa Upendo Peneza asisitiza amani akiwa ziarani na Waziri Mkuu
- Mbunge Upendo Peneza(CHADEMA) akamatwa Geita mjini, aachiwa kwa dhamana
- Je, Rais wetu, Magufuli anasoma JF? Rais, Please msikilize Binti huyu, ana hoja ya Msingi!
Mnaonaje hili ndugu zangu wa Chadema?.
Paskali
nimemsiliza lissu akisema hata hiyo rasimu ya warioba bado ina mapungufu mengi sana.bado inatoa mamlaka makubwa kwa rais katika kufanya mambo."Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
Paskali! ww si ulipigwa chini CCM juzi tu hapa kwenye ubunge huo huo? Naona hasira umeziamishia Chadema sasa. ww jamaa unatapatapa sana aisee.Wanabodi,
Baada ya kunikuta kilichonikuta kwenye EALA, naendelea kuomba sana Mungu anifundishe kunyamaza, ila kwa vile maisha yangu yote ya miaka 30 kwenye media, kazi yangu ni kuuliza tu maswali, hivyo kila nikutana na jambo ambalo kwangu naliona haliendi sawa, napatwa a burning desire to ask questions,, hivyo wakati nikiendelea sana kumuomba Mungu anifundishe kunyamaza, siwezi kunyamaza ghafla, hivyo naendelea kuuliza maswali mdogo mdogo na siku hizi siulizi maswali magumu kwa viongozi, nauliza tuu maswali rahisi rahisi humu jf tuu na sio tena kwa viongozi!. Hapa ninauliza swali, kitendo cha CHADEMA, kususia kuteua mbunge wa EALA ni strength or selfishness?
Tuanze na somo la kujifunza kuhusu vyama vya upinzani Tanzania Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane!
Kisha tujifunze jee kazi ya Upinzani ni nini?. Japo Kazi ya Upinzani ni Kupinga, Lakini Sio Kupinga Kila Kitu, Kwenye Maslahi Ya Taifa, Tutangulize Utaifa, Tuwe Wamoja, Wakweli na Tusipotoshe.
Hivyo kunapotokea mgongano wa kimaslahi kati ya maslahi ya chama na maslahi ya taifa, chama makini, kitaachana na kuweka mbele maslahi ya chama, na kutanguliza mbele maslahi ya taifa, hapa nawaomba Chadema kwa kuwashauri tangulizeni mbele maslahi ya Taifa, p'se tuteulieni jembe Upendo Furaha Peneza, akatuwakilishe EALA, huyu binti, atatusaidia sana!.
Nilipania sana kwenda EALA, ila ikatokea bahati nzuri kwenye chama changu CCM, tuna majembe ya kutosha hivyo mimi kuzidiwa sifa na majembe kazi as a result sikufanikiwa kupata uteuzi wa chama changu.
EALA iliyopita CHADEMA ilikuwa na wabunge wawili, lakini kutokana na CHADEMA kudai haiyatambui matokeo ya uchaguzi wa 2020 wanaouita uchafuzi, hivyo walipopatiwa nafasi 19 za wabunge wa viti maalum, wakagoma kuteua. Ila kukatokea wazalendo waliotanguliza mbele maslahi ya taifa, wakafanya maarifa nje ya utaratibu rasmi wa chama, wakapeleka majina NEC, NEC ikawapa uteuzi na kumkabidhi Spika, wakaapishwa na kuwa wabunge halali.
Sasa kumejitokea fursa nyingine ya CHADEMA kupeleka mtu EALA, kati ya vyama vyote vitatu vya upinzani vilivyo na wabunge ndani ya Bunge la JMT, ni CHADEMA pekee ndio yenye fursa ya kuteua mgombea atakayechaguliwa straight forward kama Mbunge wa Upinzani. Chadema isipoteua then fursa hiyo inakwenda ACT na CUF. Vyama hivyo tayari vimeteua wanaume wakati kanuni inataka mwanaume na mwanamke.
Kwa vile CHADEMA bado wana mgogoro na kina Mdee, hivyo wamesusa tena. Mwisho wa siku huu mgogoro wao na kina Mdee, utamalizika, na CHADEMA itawateua wabunge wake rasmi, muda huo utakapo wadia, fursa ya EALA itakuwa imeisha pita, and there is no going back.
Kufuatia ndugu zangu wa CHADEMA, kuunga mkono my bid kwenye EALA na wengine hadi kunichangia, kwa muktadha huu, nawashauri CHADEMA waache selfishness yao ya kususia mambo yenye maslahi mapana zaidi kitaifa kuliko maslahi ya chama.
Ukiondoa hao mashujaa 19 wa CHADEMA waliopo bungeni sasa, bado kuna shujaa mmoja ambaye ni malkia Mzinga Mbandu wa Chadema, Upendo, Furaha Peneza, ataweza kutusaidia sana kwenye EALA.
Kwa msiomjua Peneza ni huyu hapa
Ref: Mnaweza kumsoma Upendo Furaha Peneza humu
- Upendo Furaha Peneza (@UpendoPeneza) | Twitte
- Upendo Furaha Peneza: Gold in the rough. Vijana CHADEMA mpo?
- Upendo Peneza ni malkia Nzinga Mbandi wa BAVICHA
- Upendo Peneza: Nahitaji kushinda na nitashinda
- Upendo Peneza leo Bungeni; Huyu Dada ana uwezo mkubwa sana
- Upendo Peneza wa CHADEMA atoboa siri ya CHADEMA na Sabodo
- Mungu amenipa nafasi nyingine ya kumtumikia na kutumikia watu wake. Praise be to God!
- Upendo Peneza kapata ajali Geita akitokea kwenye Mikutano ya Kampeni (05 Dec 2014)
- Upendo Peneza ataja sifa za mwanaume wa kumuoa
- Upendo Peneza (CHADEMA) awalaumu Wabunge wanaohama vyama. Asema chaguzi za marudio ni kucheza pesa za wananchi!
- Mheshimiwa Upendo Peneza asisitiza amani akiwa ziarani na Waziri Mkuu
- Mbunge Upendo Peneza(CHADEMA) akamatwa Geita mjini, aachiwa kwa dhamana
- Je, Rais wetu, Magufuli anasoma JF? Rais, Please msikilize Binti huyu, ana hoja ya Msingi!
Mnaonaje hili ndugu zangu wa Chadema?.
Paskali