CHADEMA kususia kuteua EALA ni strength au ni udhaifu wa ubinafsi?

Wewe mtu ambaye ni wakili, ungetakiwa uende mahakamani ukatoe ushahidi thabiti wa namna ambavyo maarifa nje ya utaratibu rasmi, yalitumika kuwaingiza Covid19 bungeni.
Wakili utopolo anaetetea uvunjwaji wa katiba Ili kujipendekeza kwa watawala apate uteuzi. Tumwombe rais ampe cheo haraka tupumzike ma utopolo wake.
 
Nahisi nimekuelewa vizur lakini pia nimependa unavojibu vzr bila hamaki. Mungu atasimama nawe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…