CHADEMA kutohudhuria hafla fupi ya kukabidhi taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020

Nec wapuuzi tu. Sasa wanashindwa nini kujibu barua zinahusiana na covid 19.

Tena wangeweka hadharani ili chadema waumbuke.

Vinginenvyo nec ndo janja janja
 
Aliyetuma hizi barua akili yake Kama ya mbowe tu.first page iko wapi?

USSR
 
Mama ninaamini wewe ni mcha Mungu. Kaa mbali na huo uovu wa CCM. Unajua kutoka moyoni mwako yaliyofanyika kwamba hayampendezi Mungu anayehukumu kwa haki. Kama utakaa mbali na uovu wa CCM, Mungu atakukumbuka wewe na familia yako atakapokuja kuhukumu kwa haki maana yeye hana upendeleo katika hukumu maana yeye ni mwenye haki. Kumbuka Mungu ni mkuu kuliko hiyo CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…