Kwa nini kila mbunge anayechangia lazima anaitaja chadema kasolo mh fatuma amejikita ktk mjadala .hapa kuna mawili
1.Wametoka nje ya mjadala
2.Ni jambo ambalo hawakutarajia chadema kutoka
Mnataka waseme nini wakati wao wamejiandaa, wanaokubali muswada upite mikono juu CCM woooooote hureeeeeeeee! Hivyo hamna cha kuchangia kwa hiyo ndiyo maana soga ya CDM inakuwa ndiyo topic.