Kwa nini kila mbunge anayechangia lazima anaitaja chadema kasolo mh fatuma amejikita ktk mjadala .hapa kuna mawili
1.Wametoka nje ya mjadala
2.Ni jambo ambalo hawakutarajia chadema kutoka
Mnataka waseme nini wakati wao wamejiandaa, wanaokubali muswada upite mikono juu CCM woooooote hureeeeeeeee! Hivyo hamna cha kuchangia kwa hiyo ndiyo maana soga ya CDM inakuwa ndiyo topic.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.