Jiwe alikuwa Rais wa nchi (japo ni kwa kuiba kura) Tuna haki ya kujua alipo.JPM mlikuwa na dawa ya kumpelekea mlipokuwa mnadai muambiwe aliko?
Mkuu pamoja mimi sipo kwenye mambo yenu ya siasa, lakini ni kuulize swali - kati ya hao wawili wewe huoni tofauti zao hata kidogo? Mmoja ni mwananchi na mwalimu wa chuo kikuu, anapenda siasa mwingine ni mwananchi namba1 na ni AMIRI JESHI WA NCHI, unadhani kati yao ni HABARI?CHADEMA walishabikia kwa nguvu sana kutaka uwazi uwepo wa alipokuwa JPM, wakidai umma uelewazwe yuko wapi, kama anaumwa anaumwa nini. Sisi tukajua hiyo ndiyo imani yao.
Ila inapokuja upande wao; mfano wa hivi karibuni kuugua, kulazwa na kufariki kwa mjumbe wao wa kamati kuu Prof. Baregu hawafanyi kama wanavyowataka wengine wafanye.
Unafiki huu lengo lake nini? Au ndiyo viashiria vya chama kuishiwa hoja?
View attachment 1818132
Comment yako inafikirisha Sana...NAONA UPO SAHIHIBaregu alikuwa rais wa wapi? Je mpaka anafariki alikuwa na nafasi yoyote ya uongozi ndani ya cdm, mpaka cdm wawajibike kutoa taarifa zake kichama? Naona unalazimisha hata yasiyofanana ili kusawazisha ule upuuzi wa kipindichs dhalimu.
Kwa maelezo haya nakuona Kama u MTU msomi na mwenye hoja zilizo somamaMkuu pamoja mimi sipo kwenye mambo yenu ya siasa, lakini ni kuulize swali - kati ya hao wawili wewe huoni tofauti zao hata kidogo? Mmoja ni mwananchi na mwalimu wa chuo kikuu, anapenda siasa mwingine ni mwananchi namba1 na ni AMIRI JESHI WA NCHI, unadhani kati yao ni HABARI?
Wewe juha kabisa. Magufuli alikuwa Rais na public figure. Baregu alikuwa raia tu. Unaona tofauti iliyopo?CHADEMA walishabikia kwa nguvu sana kutaka uwazi uwepo wa alipokuwa JPM, wakidai umma uelewazwe yuko wapi, kama anaumwa anaumwa nini. Sisi tukajua hiyo ndiyo imani yao.
Ila inapokuja upande wao; mfano wa hivi karibuni kuugua, kulazwa na kufariki kwa mjumbe wao wa kamati kuu Prof. Baregu hawafanyi kama wanavyowataka wengine wafanye.
Unafiki huu lengo lake nini? Au ndiyo viashiria vya chama kuishiwa hoja?
View attachment 1818132
CHADEMA waliko welevu hebu wasomeJiwe alikuwa Rais wa nchi (japo ni kwa kuiba kura) Tuna haki ya kujua alipo.
Afya yake sio siri ya ccm, taarifa zake sio hisani kwa wananchi, ni haki yao.
Baregu si kiongozi wa nchi, ugonjwa na afya yake ni swala la familia.
Mataga ni wagumu sana kuelewa.
Mkuu, hiki si chombo cha habari. Hoja yangu ni suala la kanuni. CHADEMA wanajipambanua kama chama cha uwazi ndani na nje ya chama. Walituonyesha hivyo wakati wa tatizo la JPM kwa kudai umma upewe taarifa. Walikuwa na wako sahihi. Kwa matinki hiyo tulitegemea kuugua na kulazwa kwa MWANACHAMA MWANDAMIZI NA MJUMBE WA KAMATI KUU kuwekwe wazi walau kwa wanachama wao.HAIKUFANYIKA.Mkuu pamoja mimi sipo kwenye mambo yenu ya siasa, lakini ni kuulize swali - kati ya hao wawili wewe huoni tofauti zao hata kidogo? Mmoja ni mwananchi na mwalimu wa chuo kikuu, anapenda siasa mwingine ni mwananchi namba1 na ni AMIRI JESHI WA NCHI, unadhani kati yao ni HABARI?
Mpk hizo akili tope ziwateke ma CCM basi mtakuwa mmeachwa mbali sana na huu ulimwengu na unavyokwenda kasi ya ajabu Mungu ndio anajua. Pro. Baregu alikuwa rais wa nchi gani? na alikuwa anaongoza kwa kipindi kipi? Ile ni family issue. Yaelekea hata mtoa uzi katiba huijui kabisa alaa kaa kimya ufiche ujinga wako
Kwani wewe unasemaje?CHADEMA walishabikia kwa nguvu sana kutaka uwazi uwepo wa alipokuwa JPM, wakidai umma uelewazwe yuko wapi, kama anaumwa anaumwa nini. Sisi tukajua hiyo ndiyo imani yao.
Ila inapokuja upande wao; mfano wa hivi karibuni kuugua, kulazwa na kufariki kwa mjumbe wao wa kamati kuu Prof. Baregu hawafanyi kama wanavyowataka wengine wafanye.
Unafiki huu lengo lake nini? Au ndiyo viashiria vya chama kuishiwa hoja?
Kuna uzi hapo una miaka miwili usome kaka acha kulaumuCHADEMA walishabikia kwa nguvu sana kutaka uwazi uwepo wa alipokuwa JPM, wakidai umma uelewazwe yuko wapi, kama anaumwa anaumwa nini. Sisi tukajua hiyo ndiyo imani yao.
Ila inapokuja upande wao; mfano wa hivi karibuni kuugua, kulazwa na kufariki kwa mjumbe wao wa kamati kuu Prof. Baregu hawafanyi kama wanavyowataka wengine wafanye.
Unafiki huu lengo lake nini? Au ndiyo viashiria vya chama kuishiwa hoja?
View attachment 1818132
umemjibu safi, anawashwaBaregu alikuwa rais wa wapi? Je mpaka anafariki alikuwa na nafasi yoyote ya uongozi ndani ya cdm, mpaka cdm wawajibike kutoa taarifa zake kichama? Naona unalazimisha hata yasiyofanana ili kusawazisha ule upuuzi wa kipindichs dhalimu.
Mkuu elewa kuwa JF ni miongoni mwa vyombo vya HABARI, ndio maana tunapashana habari humu. CDM wanapenda uwazi katika masuala ya uendeshaji wa shughuli za KISERIKALI na si katika masuala ya maisha ya watu wake. Kama ilivyo kwenye KUABUDU, kwamba Serikali haina Dini bali wananchi wake wa Dini zao haingili IMANI ZAO. Aidha Prof. alikuwa mwananchi wa kawaida kama mimi na wewe na wengine ambao masuala kama haya huishia ngazi za familia na ukoo. Hayati Magufuli (RIP) yeye alikuwa MWANANCH AU RAIA No 1, AMIRI JESHI MKUU, na vyeo hivyo tumempa sisi Wananchi, hivyo tuna kila sababu ya kuhoji alipo raia huyo. NB: Fahamu kuwa hatuhoji kwa sababu ya kuwa ni JPM la hasa ni kwa sababu ya vyeo vyake.Mkuu, hiki si chombo cha habari. Hoja yangu ni suala la kanuni. CHADEMA wanajipambanua kama chama cha uwazi ndani na nje ya chama. Walituonyesha hivyo wakati wa tatizo la JPM kwa kudai umma upewe taarifa. Walikuwa na wako sahihi. Kwa matinki hiyo tulitegemea kuugua na kulazwa kwa MWANACHAMA MWANDAMIZI NA MJUMBE WA KAMATI KUU kuwekwe wazi walau kwa wanachama wao.HAIKUFANYIKA.
Ni unafiki kuacha kutimiza sheria uliyoitunga wewe mwenyewe na kuwataka wengine watende kile ambacho wewe huwezi kukitenda.
Ukishakua rais wa nchi unakua sio Mali ya familia tena hadi utakapo staafu kwa hiyo kila anchofanya inakua ni kwa niaba ya taifa ndio maana kuugua kifo mazishi sio jukumu la kifamilia ni wajibu wa taifa hata km familia yake ingekua tajiri saana lkn anazikwa kwa kufata talatibu za nchiNi sawa kabisa- UNATAKA KUTWAMBIA JPM HAKUWA NA FAMILA? HAKUITAJI FARAGA?
Je ukiwa mwanachama mwandamizi na mjumbe wa kamati kuu ya chama kama CHADEMA ni zipi stahiki zako ndani ya CHAMA?Ukishakua rais wa nchi unakua sio Mali ya familia tena hadi utakapo staafu kwa hiyo kila anchofanya inakua ni kwa niaba ya taifa ndio maana kuugua kifo mazishi sio jukumu la kifamilia ni wajibu wa taifa hata km familia yake ingekua tajiri saana lkn anazikwa kwa kufata talatibu za nchi
Angekuwa amekamatwa na polisiInawezekana kabisa hakuna hata kiongozi mmoja wa chadema aliewahi kwenda kumjulia hali marehemu
Mkuu Prof. Baregu alikuwa raia wa kawaida? Unataka tuamini hivyo?Mk
Mkuu elewa kuwa JF ni miongoni mwa vyombo vya HABARI, ndio maana tunapashana habari humu. CDM wanapenda uwazi katika masuala ya uendeshaji wa shughuli za KISERIKALI na si katika masuala ya maisha ya watu wake. Kama ilivyo kwenye KUABUDU, kwamba Serikali haina Dini bali wananchi wake wa Dini zao haingili IMANI ZAO. Aidha Prof. alikuwa mwananchi wa kawaida kama mimi na wewe na wengine ambao masuala kama haya huishia ngazi za familia na ukoo. Hayati Magufuli (RIP) yeye alikuwa MWANANCH AU RAIA No 1, AMIRI JESHI MKUU, na vyeo hivyo tumempa sisi Wananchi, hivyo tuna kila sababu ya kuhoji alipo raia huyo. NB: Fahamu kuwa hatuhoji kwa sababu ya kuwa ni JPM la hasa ni kwa sababu ya vyeo vyake.