ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,476
kwa jinsi mkanganyiko ulivyojitokeza kuhusu namna na uundwaji wa kambi ya upinzani bungeni basi nafasi na Mabere inakuwa ndogo sana hasa ukizingatia vyama vingine vya upinzani watakuwa upande wa CCM.
Niliposikia jina la Nyatonga kashinda ubunge nikajua tayari fitna zilishafika bungeni, huyu mzee nahisi ndiyo chanzo cha haya yote. Mzee wa fitna.
Niliposikia jina la Nyatonga kashinda ubunge nikajua tayari fitna zilishafika bungeni, huyu mzee nahisi ndiyo chanzo cha haya yote. Mzee wa fitna.