huyu mama ana kiburi kuliko wanawake wote, ccm wanataka kuharibu bunge; wanafikiri watawakaanga wapinzani kwa kumuweka yule mama kumbe wanajipiga kiberiti wao wenyewe. pona yao ilikuwa kumweka sitta, kwa kumweka huyo makinda, wanajilipua. mmama mwenye kiburi, na asiye na mume, si unajua hao wanawake wasio na mume walivyo wachungu na wababe kwa wanaume, kwasababu hawajui uchungu na uthamani wa kuwa na mwanaume...so wanafikiri sote tuko sawa ati...nakuambia atawanyamba wabunge wanaume mle bungeni hadi watakoma, ataleta gender inferiority yake pale na ataharibu kabisa bunge. kwanza atuambie kwanini anaishi bila kuolewa...anaishije.