CHADEMA kuwasilisha barua rasmi ya kuwavua uanachama Halima Mdee na wenzake kwa Spika

Walikata rufaa Baraza Kuu hivyo ilibidi wapewe haki ya kusikilizwa kwanza. Baraza kuu limekaa na kutupilia mbali rufaa yao. Muwage mnafatilia mambo
Wamesoma rufaa zao humo barazani ambazo zina malalamiko yote. Ulitaka wasikilize vipi kwa kuongea kama kampeni?
 
enzi za mwendazake, mpeleka barua na barua yenyewe wangepotea.
 
Don't be negative, barua ya Chadema kuwafuta uanachama itapokelewa na Bunge kwa mikono miwili. Kama hawakwenda mahakamani, then Spika atawavua Ubunge na kuiarifu NEC nafasi hizo ziko wazi na Chadema wapeleke majina mengine 19.
P
Hivi mkuu kati ya bunge na NEC nani kisheria anatakiwa amtaarifu mwenzake?
Bunge hutoa taarifa kwa nec kuwa nafasi fulani ipo wazi au nec ndio huwataarifu bunge?

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Don't be negative, barua ya Chadema kuwafuta uanachama itapokelewa na Bunge kwa mikono miwili. Kama hawakwenda mahakamani, then Spika atawavua Ubunge na kuiarifu NEC nafasi hizo ziko wazi na Chadema wapeleke majina mengine 19.
P
Sio rahisi kiihivyo P,tuliona mienendo enzi ya awamu iliyopita
 
Wakienda Mahakama I wataruhusiwa kuendelea " kuingia" bungeni?
Katiba za vyama zimeweka wazi Katiba ya chama ndo ifuatwe, mahakama hauwezi jadili masuala ya vyama vya siasa au michezo, mahakama itahtaj rejea ya Katiba inasemaje na ndo utakua MWISHO wao. Halima ni mwanasheria hawezi fanya upuz huo.
 
Sasa wewe, mama na mahakama wapi na wapi? Rufaa yao ni mahakamani au kwa mama?? Ninyi ndo mnafanya sheria za nchi zipindishwe, wataenda mahakamani kusikilizwa we unaweka mambo ya mama it means wakishinda basi mama atatumia maamzi yake
 
Hayo ni mapigo ya chadema tunangoja majibu ya upande wa serikali huko bungeni. Tulia ana lipi la kusema katika hili.
 
Mwizi hana adabu,akiamua kuiba nguo anaiba hadi za ndani halafu akifua anaanika nje sio uani.
Watu wanaona hii ilikuwa nguo yangu.
 
Utawala dhalimu ulishatoka sasa kaliungulumisheni mahakamani kupinga uchaguzi ule kama ushahidi upo wazi naamini na mama atawasikiliza na kulivunja bunge maana ni mpenda haki. 😁😁 au mmelizika na hali iliyowekwa na mdhalimu hata kama hayupo? Alokuambia piga magoti kwa saa 24 kafariki ndan ya saa 3 we bado umepiga magoti tu had zifike 24.
 
inawezekana usitambue Matokeo ya Uchaguzi Mkuu halafu ukatambua waliochaguliwa?…hata chanzo cha kuibuka kwa hao wabunge ni chadema kugomea kupeleka majina kwa kuwa hawatambui matokeo ya uchaguzi
Kwani Bunge limewahi kufutwa? Bunge ni chombo cha kikatiba. Usichanganye Bunge na wahuni walioingizwa na dikteta Magufuli kuwa wabunge.
 
Aliyepeleka ya mwanzo alipotea? Au ndo zile kwamba tega mgongo wakuseme.
Aliyetuma watu kuchana chana bendera za CDM kwenye mkutano wao mkuu wakati ule ni nani? dealing with very low entities. akwendeeee
 
Katiba za vyama zimeweka wazi Katiba ya chama ndo ifuatwe, mahakama hauwezi jadili masuala ya vyama vya siasa au michezo, mahakama itahtaj rejea ya Katiba inasemaje na ndo utakua MWISHO wao. Halima ni mwanasheria hawezi fanya upuz huo.
Katiba ya chama inasemaje ndo iwe hitimisho la yote? 😁😁 chama ni kikundi kinachorun kwa kufuata taratibu za usajili wa vyama kwa mjibu wa sheria, mi naamini katiba ya chadema haiwezi kuwa final say mahakamani. Mahakama haiamui kufuata katiba ya chama bali sheria na taratibu za nchi katika siasa.
 
Aliyetuma watu kuchana chana bendera za CDM kwenye mkutano wao mkuu wakati ule ni nani? dealing with very low entities. akwendeeee
😁😁 ukubwa ni jalala ndg yangu. Hilo suala hata akiagiza katibu mkuu wa chama au igp itaonekana ni rais kafanya. Magufuli alikuwa hadeal na vtu vidogo vya hvo.
 
Uelewa finyu wa mambo pia ni tatizo

Pole
Wewe mwenye uelewa wa mambo si ungejibu hilo swali nililouliza ili unieleweshe mimi nisiekua na uelewa wa hilo jambo?

Na ndio maana nikauliza hilo swali ili wewe great thinker unieleweshe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…