Hii ya Chadema kama chama kutoa kauli za kutotambua matokeo ya uchaguzi, kutolitambua Bunge, na kutumtambua rais, huku unaliandikia Bunge barua rasmi za kiofisi, na Mwenyekiti wake na M/Mwenyekiti wakimtambua Rais na kufanya juhudi kubwa kumuona, kuzungumza nae kuhusu matatizo yao na Samia alivyo muungawana, sio tuu aliwakubalia, bali pia aliwakubalia kuwasaidia shida zao, fulani fulani, Lissu amesaidiwa, Mbowe anasaidiwa na Chadema inasainiwa na mfano mzuri ni kilichotokea baada ya Rais Samia kukutana na Lissu, mnajua Kilichopelekea na juzi kati kabla ya Kikao cha Baraza Kuu, Mwenyekiti wa Chadema, alibisha hodi Ikulu kumuona Rais Samia kwa ajili ya kumshukuru kwa jambo fulani, viongozi wa Chadema wanajua ila wana Chadema hawajui.
Chadema kama chama cha upinzani kilichosajiliwa ni kipo, lakini kama chama cha upinzani makini kinachosubiri kukabidhiwa nchi hii, kwa Chadema ni bado sana, hamna kitu pale!.
P