Mbna mnatangaza msimamo af mnaanza kutishana wenyewe tena 🙂
Kwahiyo mmempuuza Lisu aliesema hamtahangaika na Mbowe?
Kwa hiyo hiki ulichoandika hapa kitaondoa ugaidi wa mbowe na kumuweka huru?Ndio, kama mlivyompuuza dhalimu kuhusu chanjo ya Covid. Kile kibanda chake cha ushirikina hapo muhimbili kimeondolewa, na chanjo na barakoa zinavaliwa na waliokuwa misikule wake kama sio wao. Kabudi inabidi apewe chanjo kidogo akachanje mapapai maana nayo dhalimu alisema yalikutwa na Corona.
Ila dhalimu alikuwa kiboko, ule ujinga alikuwa anaongea alikuwa macho makavu, na watu na elimu zao wakawa wanamsifia! Nakubaliana na mdau aliyesema mtu mweusi ni tumbili aliyechangamka.
Kwa hiyo hiki ulichoandika hapa kitaondoa ugaidi wa mbowe na kumuweka huru?
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu dhalimu wako alishafariki! Acha kuweweseka! Tupo na mama!
Mama yuko vizuri, si unaona mwenyewe jinsi magaidi yanavyokamatwa? Kumbe dhalimu wako alikuwa analea magaidi bhana!
Makofi kwa mama!
Kwanza CHADEMA wanatakiwa kufanya kila linalowezekana kumdetach kigogo kwenye propaganda zao mitandaoni.Chadema akili kubwa wameisha ngamua hii mbinu ya maccm
Mipango umesukwa kupandikiza magaidi ilivwapate uhalali wa kukifuta
Msajili yuko standby,
Ndo maana katibu mkuu myika kwenye press conference aliukwepa huu mtego
Tofauti na ushauri wa akina kigogo eti cdm wafa vutugu wakati mazingira hayaruhusu
Intelejensia itabaini nadhaniDress rehearsal imeshaanza kwa vijana wasio wanachama wa CHADEMA kuita press conference kuusema uongozi. Watu wa aina hiyo wanaweza kujitokeza kuanzisha fujo ili CHADEMA walaumiwe. Haijalishi kama wengi hawata waamini mradi sababu ya kukichukulia hatua CHADEMA ipatikane.
Amandla...
Wewe inaelekea unawajua chadema lakini huwajui viongozi wa chadema..ni watu wawili tofauti kabisaMtakapoanza maandamano ya amani nendeni na simu zenu zenye video kamera ili kuwa na ushahidi wa watakaoanzisha uvunjaji wa amani na kuwatambua hata kwa sura. Ni wazi magaidi ambao siyo wa CHADEMA watataka walianzishe ili lawana ziende CHADEMA.
Nawasilisha.