Elections 2010 CHADEMA kuzindua kampeni “Tanzania ya wananchi”

Elections 2010 CHADEMA kuzindua kampeni “Tanzania ya wananchi”

Bora tungeendelea kuwa Chini ya Mkoloni Mwingereza Kuliko haya Tunayaofanyiwa na CCM Wauwaji Wakubwa. Ubaguzi Uliopo ni bora ya Mkoloni Mwenyewe. Rais gani haheshimu Watanzania Wenzie, anawafanyia Unyama kana kwamba yeye ni Wa Taifa tofauti.

Kama ungeishi kipindi cha ukoloni usingekuwa na kauli kama hii.

Inasikitisha mno namna vyama vya upinzani vinavyoficha madhaifu yao ya kutopenda kufuata kanuni na taratibu nyuma ya mgongo wa Demokrasia.

Kila wanapokosea lazima waimbe wimbo kuwa hapa nchini hamna demokrasia.

Na demokrasia ya kweli ni kutofanya uchaguzi mkuu, au kiongozi kuwa na absolute power,

Angalia katiba ya ACT, Zito ni Kiongozi mkuu wa Chama, he is top of Mwenyekiti. Hii ni nini kama sio Udikteta na kujilimbikizia madaraka.

Njoo kwa Chadema, Mbowe ni Mwenyekiti mwaka wa 15 huu unakwenda, yeye ndio anauamuzi wa mwisho nani atagombea nafasi ya Urais. Nani atakuwa Mbunge viti maaluum, nk. n.k.

Huko upinzani hakuna hata dalili ya demokrasia, na hao ndio wanaodai taifa hili hatuna demokrasia.

Kama kweli wanataka demokrasia waanze katika vyama vyao.
 
Kama ungeishi kipindi cha ukoloni usingekuwa na kauli kama hii.

Inasikitisha mno namna vyama vya upinzani vinavyoficha madhaifu yao ya kutopenda kufuata kanuni na taratibu nyuma ya mgongo wa Demokrasia.

Kila wanapokosea lazima waimbe wimbo kuwa hapa nchini hamna demokrasia.

Na demokrasia ya kweli ni kutofanya uchaguzi mkuu, au kiongozi kuwa na absolute power,

Angalia katiba ya ACT, Zito ni Kiongozi mkuu wa Chama, he is top of Mwenyekiti. Hii ni nini kama sio Udikteta na kujilimbikizia madaraka.

Njoo kwa Chadema, Mbowe ni Mwenyekiti mwaka wa 15 huu unakwenda, yeye ndio anauamuzi wa mwisho nani atagombea nafasi ya Urais. Nani atakuwa Mbunge viti maaluum, nk. n.k.

Huko upinzani hakuna hata dalili ya demokrasia, na hao ndio wanaodai taifa hili hatuna demokrasia.

Kama kweli wanataka demokrasia waanze katika vyama vyao.
Achana na Demokrasia ya vyama maana hata CCM ndiyo Uozo kabisa. Hakuna Mwenyekiti zaidi ya Rais.
Hapa Issue ni Demokrasia ya Taifa maana ni letu wote, Vyama ni vya Wenye Vyama.
Kwanini CCM haijitengi na
Vyombo vya Dola pia Kwanini Hamtaki Kufanya Fair Election kwa Kuwa na mifumo yenye Kuruhusu Uwazi, Usawa na Haki?
Tafakari Mkuu kama binandamu na si Robort.
 
Kampeni hii itakayojulikana kwa jina la “TANZANIA YA WANANCHI” inalenga kuelimisha, kuhamasisha wananchi katika kutambua haki zao za msingi kwa kuzingatia misingi ya katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ambayo pamoja na mambo mengine inatambua: Jamhuri ya Muungano ni nchi ya kidemokrasia na yenye kufuata mfumo wa vyama vingi vya siasa na wananchi ndio msingi wa mamlaka yote.

Pamoja na mambo mengine kampeni hii inalenga vilevile kuvunja kile kinachoelezwa kwamba ni dhana potofu ya “Tanzania ya Magufuli” ambayo inalenga kupoka mamlaka ya umma wa Watanzania ambayo yapo kikatiba.

Mtonyaji anabainisha kwamba maandalizi yameanza na itagegemewa kuzinduliwa rasmi hizi karibuni.

Wafanye!

Washapata leverage tayari!

Mawe puuzi sana!
 
Watakaohudhuria hiyo kampeni ni wale wapigaji waliokatiwa mirija ya kutafuna Nchi

Kama wa akina nani wamekatiwa mirija ambao ni original opposition ukiacha miccm iliyohamia hivi karibuni kumfata mpuuzi wenu mamvi mnaemlamba tako sasa hivi?

Last time I checked ni ccm inakula hii nchi tangu 1961!

Uache unafiki na uongo!

Mlamba matako ya mawe!

Utakua ushakula mavi mno up until now!
 
Kwamba Chadema ni mali ya babamkwe wa Mbowe.....hivyo mmempa Uenyekiti wa kudumu!
Serikali ya CCM imezuia shughuli za kisiasa kama mikutano halafu hapo hapo mnawataka CHADEMA wafanye uchaguzi wa viongozi wao, HII HAIJAKAA SAWA!! NA KIBARAKA WENU Msajili wa vyama anashinikiza bila ya kutetea kwanza haki ya vyama kuendesha shughuli zake bila kuingiliwa na dola.
 
[emoji30][emoji30][emoji30]
masoudkipanya_B4o0u68j7Kl.jpeg
 
Achana na Demokrasia ya vyama maana hata CCM ndiyo Uozo kabisa. Hakuna Mwenyekiti zaidi ya Rais.
Hapa Issue ni Demokrasia ya Taifa maana ni letu wote, Vyama ni vya Wenye Vyama.
Kwanini CCM haijitengi na
Vyombo vya Dola pia Kwanini Hamtaki Kufanya Fair Election kwa Kuwa na mifumo yenye Kuruhusu Uwazi, Usawa na Haki?
Tafakari Mkuu kama binandamu na si Robort.

upo sahihi kabisa mkuu, vyama vya upinzani ile ni miradi ya watu binafsi.
 
Kuelimisha wapiga na wagombea wenu tu imewashinda kulikoni hili?

Kujenga ofisi yenye hadhi ya chama kikuu cha upinzani na chenye kutoa taswira ya viomgozi wa kitaifa mmeshindwa pale ufipa mmepanga,lakini mfalme ndiye anayemjua mwenye nyumba,na gharama za upangaji.

Kukijenga chama kule chini mashinani grassroots mmeshindwa hili mtaliwezaje?

Kugharimia ofisi za chama wilayani mnashindwa pamoja na kupata ruzuku ya milioni mia sta kila mwezi,haya hamuyaoni kama madhaifu makubwa?

Mnatafuta sababu za kufanya vurugu kwa mgongo wa maandamano, ili kumtoa JPM kwenye mstari wa malengo yake kabla ya 2020?

Mnachokitafuta mtakipata!

Wanaokufa baharini mediteranian wengi ni wale waliofurahia vifo vya Saddam hussein na Muamar ghaddafi,leo wanatamani wafufuke ili wawaombe msamaha lakini it's OVER!

MUNGU KAWAJIBU.
 
Back
Top Bottom