Nampenda kuliko Marais wote wa awamu tatu waliotangulia! Namkubali Magu ktk kuliongoza taifa langu dhidi ya walanguzi na makuwadi wa mabeberu Kama TL, Mende, Sefu nk...Hawa ni wezi na ni wa hivyo Sana!
Magufuli ndio mpango mzima wa Mungu kulinusuru taifa letu!