Uchaguzi 2020 CHADEMA kwa sera hii, mtakomba kura zote za wafanyakazi wa nchi hii, na haya ndio maneno tunayotaka kuyasikia yatayomuangusha Magufuli na CCM yake


Nimekuelewa chief, 2ko pamoja 😀
 
Watz hata vijijini kwa Sasa wanaojitambua Sana! Hawadanganywi na maneno ya kilaghai! Wameshaonja uongozi thabiti wa awamu ya tano chini ya Magu hawadanganyiki! Eti "ukionyeshe"...ebo! Kaonyesheni Basi muone na ushoga wenu Kama mtapata hata za wake zenu!
 

Mnhhhhhh ,uongozi thabiti labda wana CHATO ndio wameuona,shoga mwenyewe!
 
JPM yeye anaaisitiza kazi tu lqkini maslahi hajali kabisa.
Yaani kama vile sisi ni Punda.
Mungu hakufanya makosa kutuumba Watu na pia akatupatia punda ambao ni KAZITUU bora ale na anywe maji.
Wakati sie anatuambia HAPAKAZITUU, yeye na watu wake karibia kila siku ni sherehe za kuapishana Ikulu mpaka jumapili.
Watu (walewale) kila siku ni kukaa na kuhutubiana mambo yaleyale kisha misosi. Hizo kazi wanafanya SAA ngapi? Au kwa vile wao sio Watanzania Punda?
 
Safi Sana. Uzuri wa jpm anatembelea sera za cdm ktk kuongoza kwake. Hivyo tunategemea mitano mingine nchi itanemeeka. Au mmesahau 90% ya anayofanya magu ni agenda za cdm 2015?
 
Dunia nzma ajira ni tatizo
Lkn watoto wote wa wazito huko serikalini wanafanya kazi sekta nyeti tena kwa vimemo tu lkn tatizo la ajira linakuja kua kwa watoto wa maskini tu, wao tu ndio wakajiajiri kwa kutumia vitambulisho vya wamachinga hahahah.

Ajabu sana
 
Mkuu Ankara ya Mshahara kama unayo ilani ya CHADEMA iweke hapa basi! Ni jukumu letu wadau pia kuisoma na kuielewa ili tuanze kuihubiri majumbani kwetu na kule kote tunakopita!
 
Dunia nzma ajira ni tatizo
Hapana so kweli,Ulaya na Amerika ajira ndio tatizo kwa sababu ya kukua sana kwa teknolojia,hivyo kazi za kufanywa na binadamu zinafanywa na machine na maroboti zaidi,lakini sio hapa Afrika,hususani Tanzania.
Hapa Afrika Ni mipango mibaya tu ya Sera.
Ajira zinaweza kutengenezwa.
 
Amewashinda Zitto na chama chake kichanga kuelezea pesa zitatoka wapi, nyie mnaweka ahadi tupu halafu mnajisifia.
 
Yap ubunifu wa kutumia vipeperushi vya sera mbadala ni mzuri ili kila kundi lifikiwe, chadema wafanye kampeni kisayansi zaidi
 
Hata 2015 hakuna wafanyakazi walioipigia kura CCM, mnafikiri Magu hajui? Ndo maana mmekula jeuri yenu.

Na mkijifanya jeuri, mwakani anawaongezea kodi ya PAYE, mumkome kabisaa.
 
Atachimbia nini? Hiyo shaba moja iliyobaki mguuni? Jamani tusidanganyane. Mwenye nyenzo za kuchimbia ni nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…