So far naona hapa we are trying to create something out of nothing. Mzee Mtei keshamaliza yote hapa kwa msimamo wake. Uteuzi wa Zitto kwanza mi naupongeza na hii inaonyesha kwamba at long last viongozi wetu wanaamka, though siyo kwa spidi ambayo mimi na wewe tungependa.
Hii ni kamati na sijui wanafanya kazi kivipi ie by concensus or by voting, lakini what is clear ni kwamba Zitto ataweka mchango wake na msimamo wake kwa wenzake, na Iam sure hawezi kulazimishwa kutoa msimamo ambao haukubaliani nao, kama akitofautiana na wanakamati wenzake wakati wa kuandika report ataeleza hivyo, itakuwa ni juu ya mwenyekiti kuamua kuyaweka mawazo ya mjumbe Zitto au laa! (after all hata mahakamani majaji wanaandika dissenting opinions!) na at the end of the day kwa sababu Zitto ni upinzani I STRONGLY BELIEVE outcome ya hii report wananchi tutaambiwa (maana JK anajua wazi, asipotwambia Zitto na mzee Mapesa watatwambia) na sisi wananchi ndo tutachambua pumba na mchele! Zitto atatwambia recommendations zake zilikuwa zipi na sisi tutaamua, after all si aliweka msimamo wake wa Buzwagi, na ni sisi wananchi ambao tulikwenda nyuma yake na kumsupport?
Hivyo basi, mimi nina imani kabisa huu ueuzi ni safi na wa maslahi kwetu sisi wananchi! Maana naamini huyu bwana Zitto atatuwekea hata hii report hapa JF kama ikiwezekana, maana yeye habanwi na EL NA JK na akiona ni report inabanwa na inaweza kuwa political capital, Iam sure Zitto hatasubiri kushauliwa kuiweka hadharani maana as any politican anataka catalyst ya kumpeleka mbele kisiasa, na hii report ya madini is one of them.
Swala kwamba Kamati haina nguvu, bado naamini ni hoja ya msingi lakini wajumbe (hata kama sio wote) watatwambia kama walipewa ushirikiano na habari walizokuwa wanazihitaji kukamilisha uchunguzi wao, na kama walinyimwa, ni sisi wananchi tutakao amua!
So all in all, I think Zitto should be proud to be in this Kamati na after all, yeye kama mpinzani anawakilisha mtizamo mwingine wa shillingi. Chadema wanaweza kuwa na wasi wasi, lakini mi nawashauri wakubaliane walione hili kama swala la kitaifa na wajue kwamba Zitto hata kama ni mwanachadema anawakilisha mawazo ya waliompigia kura na wale walioupigia kura upinzani!
So far naamini Zitto atakuwa na mchango mkubwa sana katika hii Kamati na sisi wananchi tutajua what transpired as long as he is in! Hata kama atajiuzuru in the process, atatwambia kwa nini alijiuzuru an we wananchi we shall play our role as a responsible JURY!!
All the best Hon. Zitto!